Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,126
- 9,593
Tuanze naeMbona kma ndo wewe mwenyewe uliyefanya hivi?
Tunawasubiri BOT WatamkeHii ni Nini jamani, au ndo civil disobedience, na vijana Sahivi wameapa kuzipiga chata notes za TSH chapa ya no reform no election.
Acha upumbavu, unatuchafulia fedha.Hii ni Nini jamani, au ndo civil disobedience, na vijana Sahivi wameapa kuzipiga chata notes za TSH chapa ya no reform no election.
Kuharibu fedha ya nchi ni uhujumu uchumi. Wakishughulikiwa wanakuja kulialia.Mbona kma ndo wewe mwenyewe uliyefanya hivi?
Nimekutana nazo aisee mpaka kwa atm zinatoka na hayo maandishi ila saafi sana.Hii ni Nini jamani, au ndo civil disobedience, na vijana Sahivi wameapa kuzipiga chata notes za TSH chapa ya no reform no election.
Wacha tuone watalizungumziaje hiliNakumbuka BOT walikataza kutuza mtu kwenye sherehe kwa kutupa noti chini kama wafanyavyo wanigeria. Sasa hili la kuandika noti ni kosa kubwa zaidi.
Kuchafuka nchi kwa UTEKAJI na Maneno kwenye notes kizuri kipi? Kubaya sana kipi??A
Acha upumbavu, unatuchafulia fedha.
Walikataza kwa sheria ipi?Nakumbuka BOT walikataza kutuza mtu kwenye sherehe kwa kutupa noti chini kama wafanyavyo wanigeria. Sasa hili la kuandika noti ni kosa kubwa zaidi.
Umefanya mwenyeweHii ni Nini jamani, au ndo civil disobedience, na vijana Sahivi wameapa kuzipiga chata notes za TSH chapa ya no reform no election.