Hali ilivyo Dodoma Wakati huu.

Mimi nimeona ma-MPs wengi wa JWTZ maeneo ya White House na katika makutano mbalimbali ya barabara kuelekea mkumbi mpya wa mikutano wa CCM!
 
Mimi nimeona ma-MPs wengi wa JWTZ maeneo ya White House na katika makutano mbalimbali ya barabara kuelekea mkumbi mpya wa mikutano wa CCM!

JWTZ wako standby
 
Kati ya zote katuni bora kabisa kwangu ni ile ya Mangula akiwapima ha!ha!
 
Daaa! mlango ukifunguka hapo halafu Nape atoke nje kwenda kununua vocha ya simu tu nadhani kuna wajumbe watazimia kwa kihoro!
Daah, nimecheka sana. Maana kuna wengine watatimua mbio kabisaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…