Hali ilikuwa tete!!!!!

kwe kweli hali ikua tete haswa...
Acha Munga aitwe Mungu
 
Pumbavu zenu, badala ya kusaidia, nyie mnapiga tu picha mkiwa kwenye ndege, nyambafu.
Wamesaidia kwa kupiga picha ili wewe uzione na upate moyo wa huruma ya kusaidia. Wengine roho zenu ngumu maelezo matupu huwa hayatoshi, mpaka muone picha ndo mnasituka
 
Majasiri sana hawa....wenzangu na mimi tukipanda boti tu kwenda zenji huwa tabu kwa jinsi inavyoyumba seuze kukaa kwenye hayo magodoro! Mungu mkubwa...kama sio siku haijafika, haijafika tu!
 
Pumbavu zenu, badala ya kusaidia, nyie mnapiga tu picha mkiwa kwenye ndege, nyambafu.
Idiot! ungeona wapi hali halisi ya ajali km hakuna vidhibiti vya kuelezea ukubwa wa tatizo ili hatua muafaka zichukuliwe!!!!!
 
Hivi kwa nini vyombo vya majini visafiri usiku? ingekuwa mchana wasingekufa wengi kiasi hiki hata mtu mwenyewe kwa juhudi zako ukiona wapi uelekeee wawezapona nafiri tubadirike!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…