ERIC JOSEPH
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 567
- 55
Ndugu zangu nasikia bado vurugu zinaendelea tena huko mbeya.tafathali mwenye talifa zaidi atujuze.
KWA MSAADA WA EMT wa JF:
Mkuu wa Mkoa Abas Kandoro akiwa na waandishi wa habari muda mfupi uliopita wakijadili swala la Mgogoro na wamachinga
Bara bara zimefungwa maeneo ya Mama John muda huu
Waandishi wa habari wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa kutokana na Sakata Hili la wamachinga
Wanachi wa Mbeya wakiwa wanashangilia tuu wakati waandishi wanaendelea na kikao na Mkuu wa mkoa
KWA MSAADA WA EMT wa JF:
Mkuu wa Mkoa Abas Kandoro akiwa na waandishi wa habari muda mfupi uliopita wakijadili swala la Mgogoro na wamachinga
Bara bara zimefungwa maeneo ya Mama John muda huu
Waandishi wa habari wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa kutokana na Sakata Hili la wamachinga
Wanachi wa Mbeya wakiwa wanashangilia tuu wakati waandishi wanaendelea na kikao na Mkuu wa mkoa