Akifunuliwa kapenda mwenyewe, labda wafumuaneUkienda kwa mganga atakuambie ulale kwake
Unajua nn kitaendelea usiku...
Lazima akufunue marinda
pole xana mkuu mapenzi ya siku hizi hayaendi kwa ndumba jipange uende tena, kama akikataa tena bac we ni-PM nikupe shavu.
Akifunuliwa kapenda mwenyewe, labda wafumuane
Mimi sio mshirikina lakini kwa hili nitakua mshirikina Mungu nisamehe. Kwa nini? nimekutongoza umekataa, nimekudanganya vya kutosha ili unikubali lakini wapi! sasa siwez kukubali nikukose mtoto mzuri kiasi hicho, sasa nafanya plan B, mpaka nikupate tu, hakya ya nan lazima niende kwa mganga, siwez kushndwa kirahis namna hiyo
ni bonge la tusi, hili ukiambiwa lazima ulushe ngumi.
Utayaweza masharti ya waganga wewe??? Akikwambia inama aweke dawa kwenye exhaust na drive shaft yake utakubali?
Teh teh yaelekea unaenda na swaga za zamani, sialali na kuota utaotaje bila ya kulala hapo hupati kitu hahahahahahaahha nenda na mistari ya maana
mkuu MPE na mfano bwana
Ajaribu mstari huu aone kama atakataliwa...
Mleta mada huko shule Kigoma sekondari unakwenda lini na namba ya simu ya Mkuu wa Shule umepata ?
I think ur brain went with ur foreskin when u got circumcised!