Hakyanani naenda kwa mganga

Hakyanani naenda kwa mganga

Lenin V.I.U

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2014
Posts
218
Reaction score
62
Mimi sio mshirikina lakini kwa hili nitakua mshirikina Mungu nisamehe. Kwa nini? nimekutongoza umekataa, nimekudanganya vya kutosha ili unikubali lakini wapi! sasa siwez kukubali nikukose mtoto mzuri kiasi hicho, sasa nafanya plan B, mpaka nikupate tu, hakya ya nan lazima niende kwa mganga, siwez kushndwa kirahis namna hiyo
 
pole xana mkuu mapenzi ya siku hizi hayaendi kwa ndumba jipange uende tena, kama akikataa tena bac we ni-PM nikupe shavu.
 
Mimi sio mshirikina lakini kwa hili nitakua mshirikina Mungu nisamehe. Kwa nini? nimekutongoza umekataa, nimekudanganya vya kutosha ili unikubali lakini wapi! sasa siwez kukubali nikukose mtoto mzuri kiasi hicho, sasa nafanya plan B, mpaka nikupate tu, hakya ya nan lazima niende kwa mganga, siwez kushndwa kirahis namna hiyo

Utayaweza masharti ya waganga wewe??? Akikwambia inama aweke dawa kwenye exhaust na drive shaft yake utakubali?
 
Mimi sio mshirikina lakini kwa hili nitakua mshirikina Mungu nisamehe. Kwa nini? nimekutongoza umekataa, nimekudanganya vya kutosha ili unikubali lakini wapi! sasa siwez kukubali nikukose mtoto mzuri kiasi hicho, sasa nafanya plan B, mpaka nikupate tu, hakya ya nan lazima niende kwa mganga, siwez kushndwa kirahis namna hiyo

hiyo pesa ya kumlipa mganga kwa nini usimpe muhusika au utumie kumnunulia zawadi? hivi unadhani mwanamke anavuwa chupi tu hovyo kama anaenda msalani?
 
Mambo ya waganga utayaweza kweli ndugu? maana wao hawashindwi kitu, we subiri waje wakulie cash af wakwambie ulete mapu**mbu ya kuku.
 
Mimi sio mshirikina lakini kwa hili nitakua mshirikina Mungu nisamehe. Kwa nini? nimekutongoza umekataa, nimekudanganya vya kutosha ili unikubali lakini wapi! sasa siwez kukubali nikukose mtoto mzuri kiasi hicho, sasa nafanya plan B, mpaka nikupate tu, hakya ya nan lazima niende kwa mganga, siwez kushndwa kirahis namna hiyo

Kazi ndogo hiyo. Tafuta machozi ya mamba nusu kijiko tu. Ukiwa tayari toa taarifa hapa hapa live nikuambie cha kufanya. Atakufuata mwenyewe huku akimwaga machozi kama hana akili nzuri
 
Teh teh yaelekea unaenda na swaga za zamani, sialali na kuota utaotaje bila ya kulala hapo hupati kitu hahahahahahaahha nenda na mistari ya maana
 
huyo mtoto mzur hebu mu- invite room... hata usioneshe kua unamtaka saaana... akija tu we BAKA... hawez kupiga kelele haf ukimaliza kumbaka tayar litakua koloni lako.. hii njia inaitwa AMBUSH method
 
Wasichana hawa hawa wa siku hizi wakukatae, acha ubahili wewe. Vinginevyo nenda kaoge baharini....
 
Ukienda kwa mganga atakuambie ulale kwake
Unajua nn kitaendelea usiku...
Lazima akufunue marinda
 
huyo mtoto mzur hebu mu- invite room... hata usioneshe kua unamtaka saaana... akija tu we BAKA... hawez kupiga kelele haf ukimaliza kumbaka tayar litakua koloni lako.. hii njia inaitwa AMBUSH method

Mkuu, hilo hapana. Akizidiwa sana bora akanunue kwa wale wanaouza waziwazi bila hiyana wala mzunguko. Wapo wa aina zote kuanzia buku hadi laki. Ambush method mtu anaweza kuishia jela.
 
Pangilia vzr maneno yako mabinti wa ss sio wachoyo,na wanapenda sana vijizawadi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom