Lenin V.I.U
JF-Expert Member
- Mar 28, 2014
- 218
- 62
Mimi sio mshirikina lakini kwa hili nitakua mshirikina Mungu nisamehe. Kwa nini? nimekutongoza umekataa, nimekudanganya vya kutosha ili unikubali lakini wapi! sasa siwez kukubali nikukose mtoto mzuri kiasi hicho, sasa nafanya plan B, mpaka nikupate tu, hakya ya nan lazima niende kwa mganga, siwez kushndwa kirahis namna hiyo