Hakuwa na sifa za kuingia chuo kikuu, akaingia kijanja mwaka wa pili kasimamishwa

maramia

JF-Expert Member
Jul 17, 2015
2,030
1,344
Kuna mtoto wa kijijini kwetu huku Serengeti ambaye alipungukiwa sifa ya kujiunga na elimu ya chuo kikuu mwaka juzi lakini katika uchaguzi wa pili alifanikiwa kuchaguliwa kusoma kozi ya digrii ya kwanza ya Electrical and Electronic Engineering huku akiwa hakukidhi sifa za kusoma kozi hiyo kwa kutokuwa na alama za kutosha katika mtihani wa kidato cha sita.

Mwanafunzi huyo ambaye alisoma shule za kata tangu aanze kusoma kozi hiyo kwa miaka yote miwili amekuwa akifanya vizuri kuliko wenzake wote wa kozi hiyo walioingia kwa kufikia vigezo.

Cha ajabu hivi karibuni amesimamishwa kuendelea na masomo kwa maelezo kwamba alichaguliwa kimakosa kusoma kozi hiyo kwa sababu hakuwa na sifa, na huo ndio ukweli.

Ninachopenda kuuliza ni kwamba hii ni halali na haki kumsimamisha masomo wakati hakudisco ama kusup somo hata moja na ana GPA ya 4.0?
 
Kuna mtoto wa kijijini kwetu huku Serengeti ambaye alipungukiwa sifa ya kujiunga na elimu ya chuo kikuu mwaka juzi lakini katika uchaguzi wa pili alifanikiwa kuchaguliwa kusoma kozi ya digrii ya kwanza ya Electrical and Electronic Engineering huku akiwa hakukidhi sifa za kusoma kozi hiyo kwa kutokuwa na alama za kutosha katika mtihani wa kidato cha sita.

Mwanafunzi huyo ambaye alisoma shule za kata tangu aanze kusoma kozi hiyo kwa miaka yote miwili amekuwa akifanya vizuri kuliko wenzake wote wa kozi hiyo walioingia kwa kufikia vigezo.

Cha ajabu hivi karibuni amesimamishwa kuendelea na masomo kwa maelezo kwamba alichaguliwa kimakosa kusoma kozi hiyo kwa sababu hakuwa na sifa, na huo ndio ukweli.

Ninachopenda kuuliza ni kwamba hii ni halali kumsimamisha masomo wakati hakudisco ama kusup somo hata moja na GPA ya 4.0?
Hilo ndiyo tatizo lakuangalia grades zaidi kuliko kuangalia uwezo halisi wa mwanafunzi. Kwanza elimu yetu ni more grades oriented kuliko kumuandaa mwanafunzi as a whole person in terms of capacity in reasoning, questioning, challenging, life skills and the general perspective of life, work and the world as a whole. We need to work extra hard with our education system. It's very unfortunate that til of now no body in the decision making level has discovered what's wrong and what ought to be done. So what's going on right now is just fumbling!
 
Kama hakukidhi sifa za kusoma kozi hiyo kwa ngaz ya chuo, akisimamishiwa masomo ni sawa lakin kwa kuwa uwezo wake ni mzur anaeza enda hata kusomea diploma au VETA kama inawezekana kwa upande wake
 
Hilo ndiyo tatizo lakuangalia grades zaidi kuliko kuangalia uwezo halisi wa mwanafunzi. Kwanza elimu yetu ni more grades oriented kuliko kumuandaa mwanafunzi as a whole person in terms of capacity in reasoning, questioning, challenging, life skills and the general perspective of life, work and the world as a whole. We need to work extra hard with our education system. It's very unfortunate that til of now no body in the decision making level has discovered what's wrong and what ought to be done. So what's going on right now is just fumbling!

Je unapendekeza tuwapime VP vijana wetu kama wanafaa kuendelea Na masomo ya ngazi nyingine?...Kama mitihani hupendi kiwe kigezo, pendekeza tufanye nini sio kulalamika tu huku ukiwa utaalam wa kushauri juu ya jambo hili unalo.
 
Nani kakwambia sheria haina huruma? Kawaulize Basil Mramba na Daniel Yona wakuambie huruma na ahueni ya sheria.
hapo unazungumzia ukiukwaji wa sheria mkuu na yote hyo ni kwa sbabu wanyoitekeleza ni binadamu,ila sheria yenyewe ikitekelezwa ipasavyo haina msalie Mtume.
 
Mshauri aende mahakamani kwakucheleweshea muda wake. upo uwezekanonhuyo kijana mtihani wake wa f6 atakuwa alifanya vizuri watu wakambania.
Ushauri mwingine jamani unaogopesha, hii si itakuwa kesi ya kwanza na ya ina yake hapa nchini? Halafu huko mahakamani atamlalamikia nani TCU, mkuu wa chuo au wizara?
 
Hivi system ukiikomandi inakosea vipi? Sijaelewa alichaguliwaje kimakosa
Nadhani ilikomandiwa na mwenye ulemavu wa macho a.k.a makengeza au mfanyakazi mwenye madai ya malimbikizo ya nyuma ya muda mrefu.
 
Kuna mtoto wa kijijini kwetu huku Serengeti ambaye alipungukiwa sifa ya kujiunga na elimu ya chuo kikuu mwaka juzi lakini katika uchaguzi wa pili alifanikiwa kuchaguliwa kusoma kozi ya digrii ya kwanza ya Electrical and Electronic Engineering huku akiwa hakukidhi sifa za kusoma kozi hiyo kwa kutokuwa na alama za kutosha katika mtihani wa kidato cha sita.

Mwanafunzi huyo ambaye alisoma shule za kata tangu aanze kusoma kozi hiyo kwa miaka yote miwili amekuwa akifanya vizuri kuliko wenzake wote wa kozi hiyo walioingia kwa kufikia vigezo.

Cha ajabu hivi karibuni amesimamishwa kuendelea na masomo kwa maelezo kwamba alichaguliwa kimakosa kusoma kozi hiyo kwa sababu hakuwa na sifa, na huo ndio ukweli.

Ninachopenda kuuliza ni kwamba hii ni halali kumsimamisha masomo wakati hakudisco ama kusup somo hata moja na GPA ya 4.0?
Kama aliomba kihalali na kupitishwa kihalali kama second selection na anaendelea kufaulu mitihani ana haki ya kisheria kuendelea na masomo kwani amedhihirisha kwamba ana uwezo na hakuna sababu ya kumsimamisha.Afuate taratibu za kisheria kukata rufaa kuanzia ngazi ya chuo,ikishindikana aende mahakamani na wampe credit zake,aombe vyuo vingine na ahamishie credit zake vyuo vingine akamalizie huko.
 
Kama hakukidhi sifa za kusoma kozi hiyo kwa ngaz ya chuo, akisimamishiwa masomo ni sawa lakin kwa kuwa uwezo wake ni mzur anaeza enda hata kusomea diploma au VETA kama inawezekana kwa upande wake
Hivi akiamua na yeye kuwashtaki na kuwadai fidia kwa kumpotezea muda inawezekana??? Maana kama ni makosa ni wao ndio walifanya sio yeye.
Hata hivo kama mtu anatusua si wamuache tu amalize?? Kupata grades ndogo shuleni hasa katani kunachangiwa na mambo mengi sana.
 
Je unapendekeza tuwapime VP vijana wetu kama wanafaa kuendelea Na masomo ya ngazi nyingine?...Kama mitihani hupendi kiwe kigezo, pendekeza tufanye nini sio kulalamika tu huku ukiwa utaalam wa kushauri juu ya jambo hili unalo.
I think you should read between the lines before casting your comment! Nimeandika very clear kuwa elimu yetu inahitaji overhaul ili ilenge kumuandaa mwanafunzi as a whole person and not only focus on grades! Mf ukiangalia masomo mengi yanayohusisha practical bado wanafunzi wanaipata hiyo elimu kwa kugusa gusa very superficial na ndiyo sababu wakiingia makazini performance inakuwa niyakusuasua. That's only one small area! Unapoona mtu ana PhD na bado anaona maisha ni very uncertain without a certain position then you should question the type of education our schools and universities have been offering. We should not hesitate learning from other countries in order to improve our own!
 
Ushauri mwingine jamani unaogopesha, hii si itakuwa kesi ya kwanza na ya ina yake hapa nchini? Halafu huko mahakamani atamlalamikia nani TCU, mkuu wa chuo au wizara?

Asiogope. Mwambie atafute ushauri wa kisheria. This is very interesting case kwa wanansheria wazuri. He can sue them, halafu fidia atakayolipwa anatumia kwenda soma sehemu nyingine kwani tayari ana elimu ya chuo miaka miwili.
 
Ushauri mwingine jamani unaogopesha, hii si itakuwa kesi ya kwanza na ya ina yake hapa nchini? Halafu huko mahakamani atamlalamikia nani TCU, mkuu wa chuo au wizara?

Atawalalamikia wote I guess, waliompang hadi waliomfukuza baada ya muda wote huo.
Hebu fikiria countless nights ambazo amekesha anasoma, pressure pressure za mitihani, assignments, kupoteza muda wote huo kukaa darasani wakati kama angetemwa angeweza kwenda kufanya kitu flani valuable. Awashtaki tu
 
Back
Top Bottom