Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Yaan Njia mlioichagua ndio njia yenu, na sisi tutakwenda hivohivo na nyinyi.
Ukweli ni kwamba ni Ama Tuwafikishe katika Sheria au Mtuue wote mtumalize !!.
Na sio upuuzi na upumbavu wenu ulokoswa Aibu na kudhani mnatuhadaa.
Yaan Familia ya Kibao ,Iridhiane na nyinyi kitu gan??
Familia ya Mdude Iridhiane nanyi nn??
Familia Soka, ??.
Familia ya Polepole Iridhiane nanyinyi nini??.
Fikiria, wee Abdul unauliwa mtoto wako, au Samia Unauliwa Abdul,, Utaridhiana na Muuaji wako ???
Almanusura Fr Kitima, Mnalibagaza Kanisa, alafu Maridhiano yaan kwamba Mmpe Pesa Kitima ya Pole kama mnavyofanya?? Au Mlipe Kanisa Mabilioni ya Pesa kama mnavyofanyaga kwamba wasahau Matendo yenu??.
Kwamba Mridhiane na CHADEMA ,CHADEMA hii hii ya LISSU huyu mlomfumga Jela Kwa makesi ya Kipuuzi? CHADEMA hii ambayo Mmeteka wafuasi wake ,mmewaua, wengine mmewafanya Mateka Hadi Leo??.
WANANCHI SIO WAJINGA.
Jiandaeni tu, najua nanyie hili mnalifaham, Ni Ama Zenu, Ama Zetu.
Oktoba 29, tutaelewana !!.
Ukweli ni kwamba ni Ama Tuwafikishe katika Sheria au Mtuue wote mtumalize !!.
Na sio upuuzi na upumbavu wenu ulokoswa Aibu na kudhani mnatuhadaa.
Yaan Familia ya Kibao ,Iridhiane na nyinyi kitu gan??
Familia ya Mdude Iridhiane nanyi nn??
Familia Soka, ??.
Familia ya Polepole Iridhiane nanyinyi nini??.
Fikiria, wee Abdul unauliwa mtoto wako, au Samia Unauliwa Abdul,, Utaridhiana na Muuaji wako ???
Almanusura Fr Kitima, Mnalibagaza Kanisa, alafu Maridhiano yaan kwamba Mmpe Pesa Kitima ya Pole kama mnavyofanya?? Au Mlipe Kanisa Mabilioni ya Pesa kama mnavyofanyaga kwamba wasahau Matendo yenu??.
Kwamba Mridhiane na CHADEMA ,CHADEMA hii hii ya LISSU huyu mlomfumga Jela Kwa makesi ya Kipuuzi? CHADEMA hii ambayo Mmeteka wafuasi wake ,mmewaua, wengine mmewafanya Mateka Hadi Leo??.
WANANCHI SIO WAJINGA.
Jiandaeni tu, najua nanyie hili mnalifaham, Ni Ama Zenu, Ama Zetu.
Oktoba 29, tutaelewana !!.