God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,062
....
Kwani hiyo web ametengeza mwanafunzi??Salamu ndugu,
Taaluma yangu ni IT kwa kweli wanafunzi wa UDOM wanafanya vizuri sana na wengine tumeona wakiunda mitandao ya kijamii. Ni kweli elimu inayotolewa pale ni bora kabisa Tanzania hii na hilo hakuna ubishi kwani level ya mafanikio ya kitu fulani hupimwa kwa output yake, nawapongeza zana UDOM na uongozi mzima katika college ya informatics wanahitaji pongezi, hakika wanafanya vizuri mno.
Leo nikasema embu nitembelee website yao daaaa yani nimeona kitu cha kitofauti sana, ubora wa hali ya juu na mpangilio wa kisasa kabisa na kila college imeandaliwa vizuri tuu na maelezo tosha. Vyuo vingine vinapaswa kujianda na kuweka malengo bara ili watoe elimu bora na wakufunzi wazuri ili wafanye kazi kwa ufanisi wa hali ya juu.
Well arranged work, layout and easy to deal with for beginners. haina tatizo lolote hata kama huna uelewa na hayo mambo we unasonga vyema tuu.
Again congratulation to you students and lecturer's for the nice work you did/giving.
Unapima ubora wa chuo kwa uzuri wa website, halafu wewe wajiita mwana IT!!!! Kwa hiyo IT ni kutengeneza websites?!!! Kweli taaluma zinavamiwa.Salamu ndugu,
Taaluma yangu ni IT kwa kweli wanafunzi wa UDOM wanafanya vizuri sana na wengine tumeona wakiunda mitandao ya kijamii. Ni kweli elimu inayotolewa pale ni bora kabisa Tanzania hii na hilo hakuna ubishi kwani level ya mafanikio ya kitu fulani hupimwa kwa output yake, nawapongeza zana UDOM na uongozi mzima katika college ya informatics wanahitaji pongezi, hakika wanafanya vizuri mno.
Leo nikasema embu nitembelee website yao daaaa yani nimeona kitu cha kitofauti sana, ubora wa hali ya juu na mpangilio wa kisasa kabisa na kila college imeandaliwa vizuri tuu na maelezo tosha. Vyuo vingine vinapaswa kujianda na kuweka malengo bara ili watoe elimu bora na wakufunzi wazuri ili wafanye kazi kwa ufanisi wa hali ya juu.
Well arranged work, layout and easy to deal with for beginners. haina tatizo lolote hata kama huna uelewa na hayo mambo we unasonga vyema tuu.
Again congratulation to you students and lecturer's for the nice work you did/giving.
Kuna watu kama huyo jamaa huwa wanatia kinyaa.
Unapima ubora wa chuo kwa uzuri wa website, halafu wewe mwana IT!!!! Kwa hiyo IT ni kutengeneza websites?!!! Kweli taaluma zinavamiwa.
Kuna watu kama huyo jamaa huwa wanatia kinyaa.

Unashangaa nini? Ashasema anatoka UDOMUnapima ubora wa chuo kwa uzuri wa website, halafu wewe wajiita mwana IT!!!! Kwa hiyo IT ni kutengeneza websites?!!! Kweli taaluma zinavamiwa.
Kuna watu kama huyo jamaa huwa wanatia kinyaa.
Nyambulisha vizuri chuo kikuu cha University oF DodomaChuo kikuu cha UDOM![]()
![]()
![]()