Hakuna website ya kisasa kama ya chuo kikuu cha UDOM

Hakuna website ya kisasa kama ya chuo kikuu cha UDOM

Sioni chochote special kuhusu hiyo website, labda unaongelea nyingine ila sio udom.ac.tz, au kuna features zilizojificha ambazo wanafunzi mnaziona wengine haturuhusiwi kuingia? Zaidi ya hapo hiyo website ni nyepesi tu inatengenezeka bila challenges zozote.
appearance, layout na mpangilio wa wa content viko poa sana
 
lakn mkuu hujaona chochote kizuri pale?? by the way embu angalia n ya DIT halaf uniambie lolote
 
lakn mkuu hujaona chochote kizuri pale?? by the way embu angalia n ya DIT halaf uniambie lolote
UDOM acheni nguvu kubwa kujifanyia promo, boresheni kiwango cha elimu mtakwezwa wakati utakapofika.

sasa unaleta habari za website, hivi nitamshauri mdogo wangu akasome "Chuo kikuu cha UDOM" kwa sababu kuna website nzuri?
 
UDOM acheni nguvu kubwa kujifanyia promo, boresheni kiwango cha elimu mtakwezwa wakati utakapofika.

sasa unaleta habari za website, hivi nitamshauri mdogo wangu akasome "Chuo kikuu cha UDOM" kwa sababu kuna website nzuri?
kiki zinatafutwa
 
UDOM acheni nguvu kubwa kujifanyia promo, boresheni kiwango cha elimu mtakwezwa wakati utakapofika.

sasa unaleta habari za website, hivi nitamshauri mdogo wangu akasome "Chuo kikuu cha UDOM" kwa sababu kuna website nzuri?
umeona vitu walivyogundua wanafunzi wa udom??
 
umeona vitu walivyogundua wanafunzi wa udom??
Vipi mkuu vya kulinganisha na vilivyo gunduliwa na UDSM.
hivi ninyi mna matatizo gani, yani mtu mwenye akili timamu unaweza kukaa na kuitangaza UDOM kwamba ni bora mbele ya UDSM, SUA, MUHIMBILI.

Ndo mana upo UDOM aisee
 
kwanini hajaweka prospectus?
Katika vitu vya msingi kwa yule anetaka kuchagua program ya kwenda kusoma chuo ni taarifa kuhusu program hiyo. Kwa UDOM sidhani kama utapata taarifa za kina ambazo Prospectus ingeweza kusaidia au vipeperushi. Unataka ujue teaching staff imekaaje etc hivyo vyote huvipati. Kwangu mimi hilo pungufu ni kubwa sana na bahati mbaya siyo UDOM tu. Hivyo unajiuliza chuo kama hicho kweli kinataka kukompete? Fikiria uanataka uchukuwe program kama BA in Political Science and Public Administration unaingia TCU guide unagundua ni UDSM na UDOM tu ndio wanatoa hiyo program. Baada ya hapo unataka ujue hizo program zikoje na teaching staff yake ikoje-UDSM utapata taarifa hizo kwenye prospectus yao lakini UDOM hakuna kitu. Unapata picha gani. Kuna vyuo hata program nyingine wanazotoa hazionekani kwenye website ya chuo.
 
😛😛😛Jamani tangu nafuatalia website ya udom kuhusu prospectus sijawahi kuipata kwenye website yao.Hio website inmambo mengi tu haijitoshelezi.Hatuangalii graphics zenu mlizo weka wala majonjo yenu mengine.Nasema hivi website nzuri ni ile ambayo mwanafunzi akitaka taarifa yoyote ile mfano labda prospectus,au taarifa zengine kuhusu elimu hasa ndani ya chuo chao na nje ya chuo chao hio ndo website nzuri kwahyo.Usijishaue shaue na hiyo udom.
 
Vipi kuhusu collage ya informatics ya sokoine university kunachochote kipya
 
Back
Top Bottom