Hakuna wa kumtetea Assad, si serikalini si upinzani...

Hakuna wa kumtetea Assad, si serikalini si upinzani...

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,506
Reaction score
123,776
Assad ni mtu pekee Tanzania hii ambae yupo serikalini lakini anaweza kuikosoa mihimili yote mitatu ya mfumo wa uongozi wa Tanzania.

Anaweza kuukosoa mhimili wa taasisi ya Urais kwa maana ya wizara na idara zote zilizo chini ya taasisi ya Urais. Anaweza kuukosoa mhimili wa bunge ikiwemo ofisi ya spika. Anaweza kuukosoa mhimili wa mahakama. Anaweza kuikosoa mihili yote hiyo kwa kutokusimamia matumizi mazuri, ubadhirifu, uvunjaji wa sheria na kanuni za matumizi na ndiye pekee anaweza kutoa maoni yake ya udhaifu uko wap na akasikika.

Assad majukumu yake hayaishii serikalini tu, ni mtu pekee anaeweza kuyafanya yote hayo juu kwa upinzani pia.

Kwa kutazama hayo kwa uoana wake, Assad ni mtu pekee anaeweza kuikosoa (kwenye usimamizi wa fedha) Jamhuru nzima ya Muungano wa Tanzania.

Hilo ni jukumu kubwa sana na lazima awe na maadui kutoka kila pembe.

Hakuna asiyeelewa kuwa Tanzania matumizi mabovu ni kila pahala.

Ni dhahiri hakuna mhimili usio mchekea usoni tu lakini akigeuka anasonywa.

Kwa hiyo tusitarajie mhimili wowote kumtetea Assad zaidi ya wachache wanaotaka kuona matumizi ya fedha zao yanasimamiwa vizuri.

Hili sakata la Assad ndiyo litatuonesha ukweli wa mambo ulivyo Tanzania.

Hakuna ataepinga kuwa kuna madudu mengi ya kifedha yapo serikalini na inawezekana kabisa kuwa madudu hayo yapo hata ofisi ya spika. Spika ameshindwa kabisa kuliendesha bunge kuwa wasimamizi wa serikali na kwa maana hiyo basi bunge limekuwa dhaifu.

Tutegemee nani wa kuwa upande wa Assad?

Bunge ni dhaifu.
 
kila siku miaka inavo katika ndo nazidi kushangaa serekali yetu na kazi zake.CAG japo kiulewa si mtu wa kuingiliwa kama navojua sasa kwa mtindo huu basi tufute haya mambo ya ukaguzi wa hesabu.tubakishe nyama ya mbuzi
 
Wapinz
Assad ni mtu pekee Tanzania hii ambae yupo serikalini lakini anaweza kuikosoa mihimili yote mitatu ya mfumo wa uongozi wa Tanzania.

Anaweza kuukosoa mhimili wa taasisi ya Urais kwa maana ya wizara na idara zote zilizo chini ya taasisi ya Urais. Anaweza kuukosoa mhimili wa bunge ikiwemo ofisi ya spika. Anaweza kuukosoa mhimili wa mahakama. Anaweza kuikosoa mihili yote hiyo kwa kutokusimamia matumizi mazuri, ubadhirifu, uvunjaji wa sheria na kanuni za matumizi na ndiye pekee anaweza kutoa maoni yake ya udhaifu uko wap na akasikika.

Assad majukumu yake hayaishii serikalini tu, ni mtu pekee anaeweza kuyafanya yote hayo juu kwa upinzani pia.

Kwa kutazama hayo kwa uoana wake, Assad ni mtu pekee anaeweza kuikosoa (kwenye usimamizi wa fedha) Jamhuru nzima ya Muungano wa Tanzania.

Hilo ni jukumu kubwa sana na lazima awe na maadui kutoka kila pembe.

Hakuna asiyeelewa kuwa Tanzania matumizi mabovu ni kila pahala.

Ni dhahiri hakuna mhimili usio mchekea usoni tu lakini akigeuka anasonywa.

Kwa hiyo tusitarajie mhimili wowote kumtetea Assad zaidi ya wachache wanaotaka kuona matumizi ya fedha zao yanasimamiwa vizuri.

Hili sakata la Assad ndiyo litatuonesha ukweli wa mambo ulivyo Tanzania.

Hakuna ataepinga kuwa kuna madudu mengi ya kifedha yapo serikalini na inawezekana kabisa kuwa madudu hayo yapo hata ofisi ya spika. Spika ameshindwa kabisa kuliendesha bunge kuwa wasimamizi wa serikali na kwa maana hiyo basi bunge limekuwa dhaifu.

Tutegemee nani wa kuwa upande wa Assad?

Bunge ni dhaifu.
Wapinzani walishasema na kuunga mkono hoja yake na wako tayari kumtetea japo nguvu hawana..
 
Ni dhaifu kweli kweli ati

Sent using Jamii Forums mobile app
Leo hii ilitakiwa upinzani wote uwe umeshatoa kauli za kumuunga mkono Assad na kusema wazi wazi kuwa bunge ni dhaifu, hususan wabunge wa upinzani kama kweli wapo pale kusimamia maslahi ya Tanzania.

Hali kadhalika wabunge wa chama tawala, kama kweli wapo pale kutetea wananchi waliowachagua, wawe wa kweli kuwa fedha zetu hazisimamiwi na bunge ipasavyo na kuna udhaifu mkubwa bungeni kwenye hilo. Na hilo linatokana uendeshaji bunge dhaifu wa Ndugai.

Bunge ni dhaifu.
 
Leo hii ilitakiwa upinzani wote uwe umeshatoa kauli za kumuunga mkono Assad na kusema wazi wazi kuwa bunge ni dhaifu, hususan wabunge wa upinzani kama kweli wapo pale kusimamia maslahi ya Tanzania.

Hali kadhalika wabunge wa chama tawala, kama kweli wapo pale kutetea wananchi waliwachagua wawemwa kweli kuwa fedha zetu hazisimamiwi nambunge ipasavyo na kuna udhaifu mkubwa bungeni kwenye hilo.

Bunge ni dhaifu.
Matumbo, matumbo yao ni muhimu ndio maana kimya, ila ni mapema sana kuwasemea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jakaya aliitwa Dhaifu ndani ya Bunge lakin Mtu hakufungwa pingu wala kuitwa Ikulu kujieleza ila kuliita Bunge dhaifu maana yake Ni Kuwa tayari kupigwa Pingu Na kuhojiwa Na taasisi hiyo hiyo ukiyoituhumu

Next time Prof asikubali kuhojiwa Na Waandishi wa Nje ya Nchi kwa Kuwa wana Maswali ya kiuchonganishi bora Waandishi wetu watakuuliza mambo ya Takwimu Ni Halmshauri ngapi zimepata hati chafu, Mkakati wa kukagua Mwaka ujao wa Fedha mchezo umekwisha
 
Assad ni mtu pekee Tanzania hii ambae yupo serikalini lakini anaweza kuikosoa mihimili yote mitatu ya mfumo wa uongozi wa Tanzania.

Anaweza kuukosoa mhimili wa taasisi ya Urais kwa maana ya wizara na idara zote zilizo chini ya taasisi ya Urais. Anaweza kuukosoa mhimili wa bunge ikiwemo ofisi ya spika. Anaweza kuukosoa mhimili wa mahakama. Anaweza kuikosoa mihili yote hiyo kwa kutokusimamia matumizi mazuri, ubadhirifu, uvunjaji wa sheria na kanuni za matumizi na ndiye pekee anaweza kutoa maoni yake ya udhaifu uko wap na akasikika.

Assad majukumu yake hayaishii serikalini tu, ni mtu pekee anaeweza kuyafanya yote hayo juu kwa upinzani pia.

Kwa kutazama hayo kwa uoana wake, Assad ni mtu pekee anaeweza kuikosoa (kwenye usimamizi wa fedha) Jamhuru nzima ya Muungano wa Tanzania.

Hilo ni jukumu kubwa sana na lazima awe na maadui kutoka kila pembe.

Hakuna asiyeelewa kuwa Tanzania matumizi mabovu ni kila pahala.

Ni dhahiri hakuna mhimili usio mchekea usoni tu lakini akigeuka anasonywa.

Kwa hiyo tusitarajie mhimili wowote kumtetea Assad zaidi ya wachache wanaotaka kuona matumizi ya fedha zao yanasimamiwa vizuri.

Hili sakata la Assad ndiyo litatuonesha ukweli wa mambo ulivyo Tanzania.

Hakuna ataepinga kuwa kuna madudu mengi ya kifedha yapo serikalini na inawezekana kabisa kuwa madudu hayo yapo hata ofisi ya spika. Spika ameshindwa kabisa kuliendesha bunge kuwa wasimamizi wa serikali na kwa maana hiyo basi bunge limekuwa dhaifu.

Tutegemee nani wa kuwa upande wa Assad?

Bunge ni dhaifu.
NImependa hitimisho la andiko lako : "Bunge ni zaif"
 
Assad ni mtu pekee Tanzania hii ambae yupo serikalini lakini anaweza kuikosoa mihimili yote mitatu ya mfumo wa uongozi wa Tanzania.

Anaweza kuukosoa mhimili wa taasisi ya Urais kwa maana ya wizara na idara zote zilizo chini ya taasisi ya Urais. Anaweza kuukosoa mhimili wa bunge ikiwemo ofisi ya spika. Anaweza kuukosoa mhimili wa mahakama. Anaweza kuikosoa mihili yote hiyo kwa kutokusimamia matumizi mazuri, ubadhirifu, uvunjaji wa sheria na kanuni za matumizi na ndiye pekee anaweza kutoa maoni yake ya udhaifu uko wap na akasikika.

Assad majukumu yake hayaishii serikalini tu, ni mtu pekee anaeweza kuyafanya yote hayo juu kwa upinzani pia.

Kwa kutazama hayo kwa uoana wake, Assad ni mtu pekee anaeweza kuikosoa (kwenye usimamizi wa fedha) Jamhuru nzima ya Muungano wa Tanzania.

Hilo ni jukumu kubwa sana na lazima awe na maadui kutoka kila pembe.

Hakuna asiyeelewa kuwa Tanzania matumizi mabovu ni kila pahala.

Ni dhahiri hakuna mhimili usio mchekea usoni tu lakini akigeuka anasonywa.

Kwa hiyo tusitarajie mhimili wowote kumtetea Assad zaidi ya wachache wanaotaka kuona matumizi ya fedha zao yanasimamiwa vizuri.

Hili sakata la Assad ndiyo litatuonesha ukweli wa mambo ulivyo Tanzania.

Hakuna ataepinga kuwa kuna madudu mengi ya kifedha yapo serikalini na inawezekana kabisa kuwa madudu hayo yapo hata ofisi ya spika. Spika ameshindwa kabisa kuliendesha bunge kuwa wasimamizi wa serikali na kwa maana hiyo basi bunge limekuwa dhaifu.

Tutegemee nani wa kuwa upande wa Assad?

Bunge ni dhaifu.
Uwezo wa kuzisimamia hizo taasisi anao ila siyo kwa lugha ile na jukwaa lile, tukubali tu Asad kakosea
 
Leo hii ilitakiwa upinzani wote uwe umeshatoa kauli za kumuunga mkono Assad na kusema wazi wazi kuwa bunge ni dhaifu, hususan wabunge wa upinzani kama kweli wapo pale kusimamia maslahi ya Tanzania.

Hali kadhalika wabunge wa chama tawala, kama kweli wapo pale kutetea wananchi waliwachagua wawemwa kweli kuwa fedha zetu hazisimamiwi nambunge ipasavyo na kuna udhaifu mkubwa bungeni kwenye hilo.

Bunge ni dhaifu.

Halima Mdee naye kaitwa kwenye kamati maana naye alimuunga mkono CAG mara tu baada ya tamko lake..hivyo ni moja kwa moja wapinzani inaonekana wanamuunga mkono CAG..

CAG lakini sio wa kwanza hata LISSU aliwahi kutamka hili na kwenda mbali kufikia kuliita bunge ni rubber stamp ya ikulu, ZZK alishaitwa kamatini juu suala hili hili, PASCAL MAYALA mwana JF mwenzetu alishawahi kuitwa bungeni juu ya suala hili hili..

Nafikiri inatakiwa hukumu kutoka kwa wananchi dhidi ya bunge hili lenye wabunge wengi wa CCM..
 
Leo hii ilitakiwa upinzani wote uwe umeshatoa kauli za kumuunga mkono Assad na kusema wazi wazi kuwa bunge ni dhaifu, hususan wabunge wa upinzani kama kweli wapo pale kusimamia maslahi ya Tanzania.

Hali kadhalika wabunge wa chama tawala, kama kweli wapo pale kutetea wananchi waliowachagua, wawe wa kweli kuwa fedha zetu hazisimamiwi na bunge ipasavyo na kuna udhaifu mkubwa bungeni kwenye hilo. Na hilo linatokana uendeshaji bunge dhaifu wa Ndugai.

Bunge ni dhaifu.
Leo ndio umeona umuhimu wa Upinzani??kwa sababu kaguswa wa Imani yako😂😂😂😂
 
Jakaya aliitwa Dhaifu ndani ya Bunge lakin Mtu hakufungwa pingu wala kuitwa Ikulu kujieleza ila kuliita Bunge dhaifu maana yake Ni Kuwa tayari kupigwa Pingu Na kuhojiwa Na taasisi hiyo hiyo ukiyoituhumu

Next time Prof asikubali kuhojiwa Na Waandishi wa Nje ya Nchi kwa Kuwa wana Maswali ya kiuchonganishi bora Waandishi wetu watakuuliza mambo ya Takwimu Ni Halmshauri ngapi zimepata hati chafu, Mkakati wa kukagua Mwaka ujao wa Fedha mchezo umekwisha
Hakuna uchonganishi nje.

Assad siyo mwanasiasa. Assad ni professional anaejisemea ukweli wake.

Kwa sakata hili, hakuna "next time".

Asikubali kabisa kupelekeshwa na asimamie profession yake. Hana cha kukikosa.
 
Leo hii ilitakiwa upinzani wote uwe umeshatoa kauli za kumuunga mkono Assad na kusema wazi wazi kuwa bunge ni dhaifu, hususan wabunge wa upinzani kama kweli wapo pale kusimamia maslahi ya Tanzania.

Hali kadhalika wabunge wa chama tawala, kama kweli wapo pale kutetea wananchi waliowachagua, wawe wa kweli kuwa fedha zetu hazisimamiwi na bunge ipasavyo na kuna udhaifu mkubwa bungeni kwenye hilo. Na hilo linatokana uendeshaji bunge dhaifu wa Ndugai.

Bunge ni dhaifu.
Uko dunia ipi? unajua kwa nini Mh Halima Mdee kaitwa kuhojiwa bungeni pamoja na prof Assad?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom