Hakuna utu au ubinadamu bila dini


Lakini wengine ukisema dini wanajua ni ukristo na uislam.
 
Hii ni kwa mujibu wako,
Wapo wasioamini kokote na utu/ubinadam wao ni wa kiwango kingine kabisa
 
Ujumbe umefika
 
Ujumbe umefika
 
Maandishi
Basi unakosea unaweza kuijua dini kwa kuisomea au kusoma kwa asilimia 40 tu . Asilimia 60 nilazima uiamini uabudu na kufuata ya kitabu ukifikia kiwango cha juu cha imani utajua mengi na kudhibitisha ukweli wa yaliyoandikwa. Wewe sio mjuaji wa kwanza walikuwepo wengi kabla yako. Ukiwaona maaskofu , mashekhe ujue kuna wale wanaijua dini kimaandishi na wale wanayoijua dini kiroho na kiimani ambao washafikia level ya juu na kujua na kuona na kudhibitisha walichokisoma hawa hawabadiliki tupo wakristo wa kawaida huwezi kutuambia kitu tukakuelewa kuhusu imani yetu na tupo huru kabisa kukosoa na kukosolewa kwa maandiko na tukifunuliwa tunabadilika ila sio kuiacha imani . Naipenda imani yangu nampenda Mungu . Nampenda Yesu namwamini maana nimeona anavyotenda. Sehemu nyingi ambazo ni impossible ananipitisha salama .
 
Tunaongelea Dini mkuu . Dini zinasemaje
Sawa, tuje kwenye dini sasa:
Ukristu = David alikuwa mbakaji na muuwaji. Alikuwa anabaka wake za watu na kuua waume zao, leo hii hapa Tanzania mtu anaona ufahari kumuita mwanaye mbakaji na muuwaji (Daudi). Mohammed, huyu alikuwa zaidi ya kibaka. Kazi yake yeye ilikuwa ni kuua watu (wanaume) na kubaka wake zao ili asambaze damu yake. Cha kusikitisha alikuwa anakabaka katoto Aisha, alianza kukalawiti toka kakiwa na miaka 9 na huyu jamaa anaabudiwa watu wakidhani kuwa ni mtume..Kwa kifupi, uzinzi na dini ni kitu kimoja.
 
Utu ni malezi na mapokezi ya tabia kutoka kwa wanaoumzunguka
Ukisema dini inatengeneza watu kuwa na utu na uadilifu huo ni UONGO wangati siku hizi ni washenzi waliojificha kwenye kivuli cha dini?
Siku hizi dunia haitulii kwa sababu ya magaidi ya Kiislam.
Upande wangu mi naona sheria za nchi na police zinanifanya niwe na Utu na maadili maana nikizingua zinanizingua
 
ni kweli kabisa.

Dini ndio chanzo kikuu cha maadili mema.
Ukisoma Imani yako vizuri inakujengea hofu kwa Mungu wako na kuwaheshimu binanaadamu wenzako.
Hata ukiwa na PhD ngapi lakini kama huna elimu ya dini yako utakuwa muovu tu.
 
Naweza kuwa na imani bila dini, je sina utu? Ndio maana tuliuza utu wetu na kupokea hizi dini zilizokuja kwa meli tukifikiria ndio utu kumbe ni utamaduni tu wa kizungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…