Serikali kupitia shirika lake la umeme inawabagua wananchi wake kwa vigezo vya wenye nacho na sisi wabangaizaji, maeneo ya wakubwa mgao kiduchu lakini huku uswazini kila siku mgao, hata watu wa maji wmeanza tabia hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.