Hakuna umeme kwenye Mikoa iliyounganishwa Umeme na gridi ya Taifa, kumetokea hitlafu kwenye mfumo wa gridi

Kennedy

JF-Expert Member
Dec 28, 2011
49,023
54,309
Kumekucha Siku Nyingine Mwezi Mwingine Tarehe 01.08.019 Ila Sasa Kukiwa Kimya Hasa Huduma Ya Umeme Baadhi Ya Maeneo Ya Jiji Niliyopita Asubuhi Hii

Buza, Davis Corner, Kariakoo, Upanga
Nimeona Huduma Hakuna Tena Jiji Likiwa Ukiwa Mtupu

=====


SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

Agosti 01, 2019

TAARIFA KWA WATEJA WETU WA MIKOA ILIYOUNGANISHWA NA GRIDI YA TAIFA

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake wa Mikoa iliyounganishwa na gridi ya Taifa kuwa imetokea hitlafu kwenye mfumo wetu wa gridi ya Taifa Saa 12: 06 Asubuhi na kusababisha Wateja wetu wa Mikoa iliyounganishwa na gridi ya Taifa kukosa huduma ya umeme.

Wataalamu wetu na mafundi wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya umeme inarejea kwa haraka.

Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.

*Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza*

Kwa mawasiliano
Kituo cha miito ya simu 2194400 na 0768 985100

IMETOLEWA NA:

OFISI YA UHUSIANO

TANESCO MAKAO MAKUU
 
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

Agosti 01, 2019

TAARIFA KWA WATEJA WETU WA MIKOA ILIYOUNGANISHWA NA GRIDI YA TAIFA

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake wa Mikoa iliyounganishwa na gridi ya Taifa kuwa imetokea hitlafu kwenye mfumo wetu wa gridi ya Taifa Saa 12: 06 Asubuhi na kusababisha Wateja wetu wa Mikoa iliyounganishwa na gridi ya Taifa kukosa huduma ya umeme.

Wataalamu wetu na mafundi wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya umeme inarejea kwa haraka.

Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.

Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza

Kwa mawasiliano
Kituo cha miito ya simu 2194400 na 0768 985100

Tovuti: www.tanesco.co.tz,

Mitandao ya kijamii

Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,

Facebook https://www.facebook.com/tanescoyetultd/

IMETOLEWA NA:

OFISI YA UHUSIANO

TANESCO MAKAO MAKUU
 
Back
Top Bottom