Hakuna ugonjwa wa UKIMWI

Hakuna ugonjwa wa UKIMWI

UKIMWI ni zile dawa mnazopewa kwa kisingizio cha kuimarisha kinga ya mwili.

Ukweli ni kwamba, pale tu unapoanza kutumia zile dawa ndio unakuwa umesaini mkataba wa kuishi kwa kutegemea kinga artificial huku kinga yako ya asili ukiitia kapuni


Kinga ya mwili ina tabia ya kushuka na kupanda kulingana na vyakula unavyokula au muda mfupi tu baada ya kutoka kuamka, sasa hivi vipimo vya ukimwi vinaona ukweli kwamba kinga ya mtu fulani imeshuka lakini papo hapo ukienda nyumbani kwako ukaishi maisha ya kawaida alafu ukarudi baada ya siku chache vinaona kinga yako iko normal.

Ngoja niwape mbinu nzuri ya kuepukana na hili janga la kulishwa madawa ambayo ndio ukimwi wenyewe.

Kwa wale ambao mliwahi kupima mkaambiwa mna ukimwi na hamkutumia hizo dawa zao, nendeni tena mkapime mtakutwa hamna tena huo upungufu.
Au kwa ambao hamjapima kabisa, nendeni mkapime alafu yeyote atakaekutwa na huo upungufu wa kinga mwilini arudi akapige mishe zake kawaida alafu arudi siku nyingine ndani ya kituo hichohicho apime tena kama atakutwa na huo upungufu

Au mtu mmoja aweza kupima kituo hiki akakutwa ana upungufu wa kinga mwilini, alafu ndani ya week hiyohiyo akaenda kituo kingine akakutwa hana huo upungufu.

KINGA YA MWILI NI KAMA HALI YA HEWA.

Kinga yako inaweza kuwa katika hali tofautitofauti kulingana na lifestyle yako mwenyewe, ila elewa kwamba kinga hiyohiyo inajirejesha yenyewe kwenye hali ya kawaida kama ukibadili mfumo wako wa maisha na kuzingatia kanuni bora za afya.

Kwa wale ambao tayari wameshameza vidonge vya kupambana na ukimwi hawapaswi kuacha kwa sababu walishavipa ujira vidonge hivyo viwe mbadala wa kinga ya mwili.

Fanya utafiti mwenyewe hata wewe ambae ulipima jana ukakutwa upo vizuri kapime kituo kingine kesho na kingine keshokutwa kama kati ya vituo hivyo hujaambiwa una ukimwi.

Na wewe ambae vipimo vilionyesha umeathirika na hukuanza dozi, karudie kupima tena na tena kama utakutwa na hilo gonjwa feki

Pia hata kutokuzingatia matumizi sahihi ya dawa wakati unapougua magonjwa mengine, kwa asilimia kubwa husababisha kinga yako kuishiwa nguvu.

asante sana kiongozi, you said it all
 
Huo ugonjwa upo msidanganyane wala kupeana matumaini,kama huamini njoo nikudunge sindano yenye hao virusi halafu unipe matokeo.

Wengi mnaosema huu ugonjwa haupo wengi wenu ndio mnauogopa kinyama,hapa mnajifariji fariji tu
 
Vijana kwa hali hii tutazidi kupotea,virus vya HIV Vipo ni kama kilivyo kiini cha homa ya INI,kirusi cha mafua, kunavirus zaidi100 huko tofauti ni kwamba chenyewe ni RNA sisi mwilini tuna DNA so ilikikushambulie kikiingia kinajicopy na kutengeneza copy ya DNA yako kutoka chenyewe RNA ili kipunguze kinga ya mwili yako sababu DNA inayotengenezwa inakua sio pure kutoka mwilini kwako,hivi na mnaosema kwamba ni project za watu mnaelewa kwamba wazungu hizi dawa wanazotupa sio kwa ajili ya kupunguza makali tu ila mtu anaetumia dozi vizur akiwa na virus chini ya 1000 au akawa na kiwango kinaitwa TND au target not detected hawaz muambukiza mwingine ndo maana unaskia watu wapo kwenye ndoa na mmoja anao ila hamuambikizi mwenza wake,muulizege hata HIV viral load ni nin?na kwann MTU aliye kwenye doz akizid 1000 anaharakishwa arudie baada ya mda,chezeeni moto ila siku mkiwa nao stage ya mwisho unakuwa chizi sababu ya fungus cyptococcus neoformans haya

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikatai haupo. Ika ukimwi umeletwa na hawa wanasanyansi. Then wakaja na story zao eti binadamu alifanya mapenzi na NYANI Ndo akaupata huko.
Sijui why wazungu wanapenda kumsingizia NYANI kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ugonjwa upo msidanganyane wala kupeana matumaini,kama huamini njoo nikudunge sindano yenye hao virusi halafu unipe matokeo.

Wengi mnaosema huu ugonjwa haupo wengi wenu ndio mnauogopa kinyama,hapa mnajifariji fariji tu
Naomba unijibu hili swali:
JE KAMA WEWE HUNA UKIMWI (BUT KIMAKOSA WALIKWAMBIA UNAO)THEN UKAANZA KUTUMIA HAYO MADONGE YA ARV MFANO KWA MIEZI 3.....JE UTARUHUSIWA KUACHA UKIJUA KUMBE WALIKOSEA???
1.kama hutaruhusiwa kuacha basi jua yale madonge ni SHIDA.(ina maana yashaharibu kinga zako)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wana JF, leo nataka ku-share na ninyi kuhusu hili neno UKIMWI(wengine husema ugonjwa wa UKIMWI). Kama wengi tunavyofahamu kuwa UKIMWI ni kifupi cha neno Upungufu wa KInga MWIlini, kwahiyo hapa inaonesha kwamba mwanadamu anakuwa na kiasi fulani cha kinga kwenye mwili wake, ila akishambuliwa sana na magonjwa (typhoid, Malaria, Homa ya ini, magonjwa ya zinaa n.k) na akashindwa kutumia dawa vizuri na kula mlo bora basi kinga mwilini mwake zinapungua kutoka level yake ya kawaida mpaka level ya chini...kwahiyo akienda ku-SCAN idadi/kiasi cha kinga zake mwilini atakuta zimepungua kwa asilimia fulani hivyo atakua amepata UKIMWI. Kwahiyo ndugu zangu hakuna ugonjwa wa UKIMWI ila kuna magonjwa ya zinaa, malaria, typhoid na kadhalika.... just kula vizuri mantain level ya kinga yako ya mwili ili isipungue ukajikuta unapata UKIMWI .
Ugonjwa maana yake ni hali yoyote isiyo ya kawaida mwilini, inayotatiza utendaji kazi wa mwili. Upungufu wa kinga mwilini unaosababishwa na virusi, kwa definition ya ugonjwa ni ugonjwa. Hivyo UKIMWI ni ugonjwa. Full stop, hakuna namna ya kuupamba vinginevyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ugonjwa upo msidanganyane wala kupeana matumaini,kama huamini njoo nikudunge sindano yenye hao virusi halafu unipe matokeo.

Wengi mnaosema huu ugonjwa haupo wengi wenu ndio mnauogopa kinyama,hapa mnajifariji fariji tu
Hatusemi ugonjwa hakuna bali ugonjwa upo ila hauambukizwi kwa njia ya kujamiiana hapa namaanisha (HIV) Ila tunachosema sisi huu ugonjwa ni matokea ya kutumia ARV kama haukunielewa anza kumpa vile vidonge nguruwe kimoja kimoja kwa mwezi mmoja alafu acha kumpa je utagundua nn
 
"kuna magonjwa ya zinaa, malaria, typhoid"
Aisee Tuna safari ndefu hayo ndio magonjwa ya zinaa


Sent using Jamii Forums mobile app
Umemuelewa vibaya na ndio maana akaweka alama ya comma au nayo hujui maana yake?
"....kuna magonjwa ya ZINAA, Malaria, Typhoid...."

"...Kuna Matunda, Mkaa, Mchele....."

Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
 
Ugonjwa maana yake ni hali yoyote isiyo ya kawaida mwilini, inayotatiza utendaji kazi wa mwili. Upungufu wa kinga mwilini unaosababishwa na virusi, kwa definition ya ugonjwa ni ugonjwa. Hivyo UKIMWI ni ugonjwa. Full stop, hakuna namna ya kuupamba vinginevyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulishawahi kusikia mtu kafariki kwa ugonjwa wa UKIMWI??

Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
 
Kama ukimwi hakuna nenda kona baa piga DRY mademu wa pale kwa mda wa mwezi kisha kaa miezi mitatu kapime ngoma kisha ulete majibu humu.

Hata hiyo mipira nasikia haisaidii kiivyo!
Kwa miaka mingi nasikia kuna watu wamekuwa wakitumia mipira na bado wakapata maambukizi!
Tujifunze kumjua Mungu zaidi ili kuepukana na zinaa/uasherati hiyo itakuwa na usalama zaidi!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lako mkuu umeathilika na imani za hawa wajinga tafadhali nakuomba jibu hili sawali
Hizi akili ndo mnaponza wenzenu ,either ni uelewa mdogo au lah nnavyojua kama MTU ametest positive kwenye kipimo cha kwanza cha SD bioline lazima ahakikishe na Unigold hapo ni + na unaanza dozi sasa tatzo MTU akitumia dozi akaenda kupima viral load akiwa na target not detected wanamwambia hana ukimwi wakati ile inaashiria zimeshuka mpaka kiwango mashine haiwez kusoma tena sasa watu wanamwambia hana ndo kosa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli kuhusu haya makitu anao yule anaeishi navyo , ila sisi wengine ni porojo tu.

Ila UKIMWI sio Ugonjwa.
 
Ulishawahi kusikia mtu kafariki kwa ugonjwa wa UKIMWI??

Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
Culture eti ni kweli ukimwi ni danganya toto?

Maendeleo hayana chama
 
Nice, Kusambaa kwa virusi sio UKIMWI, i must repeat UKIMWI ni upungufu wa kinga za mwili wako kujilinda dhidi ya magonjwa. Sasa kusambaa kwa virusi kuna njia nyingi.....Ngono, Mbu anaesababisha Malaria, Hewa, Mgusano wa maji maji lakini haya yooote sio UKIMWI, hizi ni njia za ku-transmitt viruses from one person to another.
Kila ugonjwa unaweza kukupelekea wewe kupata UKIMWI kama hutatibu huo ugonjwa vizuri kwa kufuata maelekezo ya Daktari, kunywa dawa ipasavyo, kula mlo bora na mazoezi ili kuhakikisha kinga zako ziko level. ila ukizemeba kinga zitapungua so utapata UKIMWI.
Mkuu tusaidie kutufahamisha,Je HIV iko au hakuna kitu kama hicho?Na kama ipo ina mahusiano gani na Ukimwi.Maelezo yako ya awali yatajitosheleza zaidi ukiweza hujibu swali hili kwa ufasaha
 
Virusi vinaenda kujichibia kwa aina fulani ya seli muhimu za damu. Kuviua lazima uue seli hizo. Ila nasikia kuna dawa virusi vikiingia mwilini kwa muda mfupi say nusu saa ama lisaa...inaviua. Ndiyo maana matabibu hawana woga na UKIMWI kwenye kazi zao za kila siku. Ukweli wa jambo hili sina hii ni tetesi; nikipata ukweli nitarudi.
 
Culture eti ni kweli ukimwi ni danganya toto?

Maendeleo hayana chama
Kama jina lake linavyojielezea UPUNGUFU WA KINGA MWILINI, kinga zetu zinashuka ndio maana tunapata magonjwa, tunajitibu tunakua normal.


Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
 
Kinacho ua au kuathiri mtu siyo UKIMWI bali ni vigonjwa nyemelezi na hakuna death certificate inayosema kafa kwa UKIMWI Bali itakuwa TB au typhoid, na kadhalika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom