alliJAY4_four
Senior Member
- May 4, 2017
- 173
- 95
- Thread starter
- #21
Binafsi sipendi zana mkuu, mpaka hapa nina 45 age napiga kavu tu. Sipendi kupima UKIMWI kwa sababu nafsi yangu ilishagoma kuwa upo, huwa naamini UKIMWI ni vile vi ARV na taarifa mbovu ya kuambiwa kula matunda, mbogamboga, fanya mazoezi n.k kana kwamba anaenambia huwa anajua kwamba sifanyi mambo hayo. Pia nimejiridhisha kwamba vipimo viitwavyo vya UKIMWI huwa havipimi UKIMWI bali hupima tu antibodies za Mwili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu, sema mazoezi nini na kujilinda na magonjwa magonjwa yasijepunguza sana kinga y a mwili wako.
pia kuna vipimo Genuine kabisa vya ku-SCAN idadi/kiasi cha kinga zako mwilini na ku-compare your age na idadi ya izo kinga
mkuu mimi nimekuelewa vizuri tuu. Maana ninae broo wangu hapa alipima na akaambiwa ana HIV baada ya hapo alisusa na hakwenda tena hospitali huu ni mwaka wa kumi sasa hatumii ARV wala chochote. Nilichoelewa ni kwamba;-