alliJAY4_four
Senior Member
- May 4, 2017
- 173
- 95
Habari zenu wana JF, leo nataka ku-share na ninyi kuhusu hili neno UKIMWI(wengine husema ugonjwa wa UKIMWI). Kama wengi tunavyofahamu kuwa UKIMWI ni kifupi cha neno Upungufu wa KInga MWIlini, kwahiyo hapa inaonesha kwamba mwanadamu anakuwa na kiasi fulani cha kinga kwenye mwili wake, ila akishambuliwa sana na magonjwa (typhoid, Malaria, Homa ya ini, magonjwa ya zinaa n.k) na akashindwa kutumia dawa vizuri na kula mlo bora basi kinga mwilini mwake zinapungua kutoka level yake ya kawaida mpaka level ya chini...kwahiyo akienda ku-SCAN idadi/kiasi cha kinga zake mwilini atakuta zimepungua kwa asilimia fulani hivyo atakua amepata UKIMWI. Kwahiyo ndugu zangu hakuna ugonjwa wa UKIMWI ila kuna magonjwa ya zinaa, malaria, typhoid na kadhalika.... just kula vizuri mantain level ya kinga yako ya mwili ili isipungue ukajikuta unapata UKIMWI .