Ni mnafiki peke yake ndiye ambaye hawezi kukubali kuwa Dr. Slaa anaendelea kutoa mchango mkubwa kwenye ustawi wa maendeleo hapa Tanzania. Kwakuwa ufisadi ulioripotiwa na CAG umezigusa kwa kiasi kikubwa H/wilaya ambako fedha nyingi hupelekwa na serikali, sasa je huko H/wilaya ya Karatu hali ikoje? hakuna ufisadi kwenye hiyo H/Wilaya?, je kuna hati safi au chafu?
Nauliza hilo kwa maana kuwa ndiko anakotoka Dr. Slaa na wakati huo alikuwa ni mbunge tena M/kiti wa hesabu za serikali za mitaa, na hiyo H/W imekuwa chini ya uongozi wa CDM.
Mwenye taarifa atujuze.
Nauliza hilo kwa maana kuwa ndiko anakotoka Dr. Slaa na wakati huo alikuwa ni mbunge tena M/kiti wa hesabu za serikali za mitaa, na hiyo H/W imekuwa chini ya uongozi wa CDM.
Mwenye taarifa atujuze.