Hakuna tena ujirani

Hakuna tena ujirani

Nimelala zangu geto hapa lakini hadi sasa hakuna hata sahani ya makande imeletwa. Nikikumbuka miaka ya huko nyuma muda kama huu ni hodi tu za kuletewa chakula. Sababu ni nini, hofu ya Mungu imepungua au hali ngumu ya uchumi?
Hali ngumu sema Mimi nimepewa msosi sahani moja mlima ishi na watu vizuri
 
Inategemea una ishi nao vipi, binafsi kuna waislamu kama watatu majirani wamenoalika tangu jana,
 
Wewe ni mchoyo na pia huna time na watu basi wanaogopa kukuita au kugonga pole
 
Hapa jirani kwetu hakunaga hiyo labda uende mwenyewe maana hutoachwa bila kula ila wao kuja wanaona ni usumbufu
 
Kitambo nilikua nakaa Mbagala aisee, mimi sio muslim ila wale majirani nilikua naishi fresh sana kuanzia uji, hadi daku.
 
Hali ngumu ya kimaisha, vyakula bei juu, mtu anaandaa bajeti ya kula yeye na familia yake tu. Tena anataka ale mpaka abakishe na baade ale na kesho asubuhi ale kiporo chake kwa chai siku ipite. Hicho chakula cha kugawa mpaka kwa jirani atakipata wapi? Siku hizi hakuna kualikana kama zamani, hata ndugu yako wa karibu hakualiki. Ubinafsi nao umetawala, cha mtu, cha mtu tu. Maisha yamebadilika ndio maana hata hizi sikukuu wengi wameanza kuzipuuzia na kuziona ni kero tu za kuvuruga fedha za maendeleo yao ya maana na kujitakia stress bure.
 
Nimelala zangu geto hapa lakini hadi sasa hakuna hata sahani ya makande imeletwa. Nikikumbuka miaka ya huko nyuma muda kama huu ni hodi tu za kuletewa chakula. Sababu ni nini, hofu ya Mungu imepungua au hali ngumu ya uchumi?
Yule marehemu wako ameondoka na chakula. Iddi kaile kaburini kwake. Shenzi kweli, mtahangaika sana ila kila mnchojaribu kuleta tunakielewa vizuri. Watanzania wana akili kuliko nyie nyau
 
Zama hizi za Mchele elfu 4000 , ukisubiri mwaliko wa biriani unaweza usiupate Cha muhimu hakikisha unajialike mwenyewe kimkakati

Maana mialiko inatoka kimkakati sana
 
Hizi ndio sababu za msingi
Hali ngumu ya kimaisha, vyakula bei juu, mtu anaandaa bajeti ya kula yeye na familia yake tu. Tena anataka ale mpaka abakishe na baade ale na kesho asubuhi ale kiporo chake kwa chai siku ipite. Hicho chakula cha kugawa mpaka kwa jirani atakipata wapi? Siku hizi hakuna kualikana kama zamani, hata ndugu yako wa karibu hakualiki. Ubinafsi nao umetawala, cha mtu, cha mtu tu. Maisha yamebadilika ndio maana hata hizi sikukuu wengi wameanza kuzipuuzia na kuziona ni kero tu za kuvuruga fedha za maendeleo yao ya maana na kujitakia stress bure.
 
Katika harakati za kusoma uzi huu gafla limekuja sahani ilo jaa pilau na nyama nyingi mno, hakika waislam mbarikiwe ningekuwa na uwezo ningefanya iddi iwe kila weekend
 
Nimelala zangu geto hapa lakini hadi sasa hakuna hata sahani ya makande imeletwa. Nikikumbuka miaka ya huko nyuma muda kama huu ni hodi tu za kuletewa chakula. Sababu ni nini, hofu ya Mungu imepungua au hali ngumu ya uchumi?
Unakaa salasala, mbweni, mbezi, mikocheni, isamilo, bwiru afu unasubiri sahani ya jirani? Kaa uswazi zipo bado
 
Back
Top Bottom