Kweli mambo huenda yakabadilika, zamani karibu asilimia 90 ya ndoa zote zilizo fungwa zilikuwa ni za watu kati ya miaka 20 hadi 25 na 30 kwa waliochelewa kuoa
Now days mambo ni tofauti kabisa, mwaka jana pekee nimehudhuria ndoa kama 10+ za ndugu, jamaa,marafiki nk karibu zote wanandoa walikuwa na zaidi ya miaka 35 hadi 45
Na kwa ujumla ndoa za sasa zimekuwa na sifa zifuatazo kwa wanandoa
Ukizingatia hivi sasa tafiti zinaonyesha ndoa za sasa hazidumu, mifarakano na kudanganyana zaidi yaani hamna uaminifu katika ndoa hizi, tofauti na ndoa za enzi zile zilikuwa zinadumu na maadili yalikuwa juu kuliko sasa
Je kuna uhusiano wowote wa ndoa hizi na mifarakano ya ndoa hizi?
Je ni nini haswa sababu ya mabadiliko haya?
Now days mambo ni tofauti kabisa, mwaka jana pekee nimehudhuria ndoa kama 10+ za ndugu, jamaa,marafiki nk karibu zote wanandoa walikuwa na zaidi ya miaka 35 hadi 45
Na kwa ujumla ndoa za sasa zimekuwa na sifa zifuatazo kwa wanandoa
Umri una range 30 to 45
Watakuwa "wanajuana" zaidi ya miaka kadhaa
Zaidi ya nusu walikuwa wanaishi pamoja kama mume na mke
Zaidi ya nusu yao tayari wana watoto wamezaa pamoja
Watakuwa "wanajuana" zaidi ya miaka kadhaa
Zaidi ya nusu walikuwa wanaishi pamoja kama mume na mke
Zaidi ya nusu yao tayari wana watoto wamezaa pamoja
Ukizingatia hivi sasa tafiti zinaonyesha ndoa za sasa hazidumu, mifarakano na kudanganyana zaidi yaani hamna uaminifu katika ndoa hizi, tofauti na ndoa za enzi zile zilikuwa zinadumu na maadili yalikuwa juu kuliko sasa
Je kuna uhusiano wowote wa ndoa hizi na mifarakano ya ndoa hizi?
Je ni nini haswa sababu ya mabadiliko haya?