makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,015
- 104,615
Malizia, wazuri.Wahuni sio watu
"Wahuni sio watu wazuri"
Malizia, wazuri.Wahuni sio watu
Waambie kabisa kuwa tukishalewa wapunguze ushauriNasema Nikilewa mniache.
Ujumbe umefika; kazi ni kwao.Waambie kabisa kuwa tukishalewa wapunguze ushauri
Sitaki, yani Mpaka nikumbushe, nenda na amila zako.Kiporo cha pilau kipo njoo tunywe na chai
akilewa apande juu ya meza, avue shati aanze cheza amapiano
Unaifurahia pombe kumbe unapenda uhai eeh!! Mliwachocha wenzenu wakafa na Mo29 Leo Upo uchagani unagida mbege!!Imagine tokea juzi nakula vyombo kuanzia asubuhi mchana jioni na usiku
Leo nimekunywa 17 tokea asubuhi
Uzuri nakula bia na nyamaa
Huku Moshi pamechafukaaa kila kona ni pombe na nyama tuuu
Jana pekee nilikunywa karibia kret nzima ya Bia
Hapo bado sijasemea hizi Konyagi na Valuu tunazomix hapo hujasemea mbege
Huku nimekuta pombe inaitwa Strong ndo kisungura cha huku ipo kama Smart Gin ni kali hiyo
Karibuni tulewe wanangu
Hapa naandika nipo chwiiii
Oyaa ni nomaa
Hii sikukuu huku Moshi ina laana kudadekisio kwa Vibe hili.