vijana wameamua wajiajiri na bodaboda zao eti wanazuiwa wasifike mjini au baadhi ya maeneo..,hvi serikali haioni hakuna ajira vijana wamejiajiri bado mnawafuatilia, bado wamachinga. Mama lishe wanavyosumbuliwa nyie viongozi wa manispaa, jeshi la polisi na serikali ya ccm mna akili gani?...