Kumbe unamshabikia bosquet kisa kasifiwa na kina del bosque? Bas nenda kaangalie namba 6 ya mhuni wa kiargentina aitwae JAVIER MASCHERANO enzi anakipiga na majogoo wa Anfield, af ukitoka hapo pitia kwa mhuni anaitwa PATRICE VIEIRA. Huyo bosquet kwa tim nyingine angefaa kucheza namba 8
Sent from koromije using bashite
Mambo ya instagram kawambie kina mangekimambi na secondary wenzakoTafadhali Tafadhali Tafadhali
Tufollow Instagram kama kandanda24 kupata updates za soka bongo na barani ulaya
Wewe unataka kuleta umadrid na ubarcelona..........Casemiro ndio 6 bora duniani kwa sasa.anakaba,anaassist na kufunga mabao.
Msimu uliopita kaifunga Barcelona, juventus na Napoli 16 bora
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
yuko sahihi..mkata umeme anaitwa.. baada ya huyo anafata ngolo kan"te mkata umeme wa EPLWewe unataka kuleta umadrid na ubarcelona..........
Hapa tunazungumzia soka kwa ujumla.........
Waambie kaka
Yupo sahihi kwa wasiojua mpira kama nyieyuko sahihi..mkata umeme anaitwa.. baada ya huyo anafata ngolo kan"te mkata umeme wa EPL
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Jamaa ana akili kama zote
Kiungo mstaarabu, akili nyingi
sergio anacheza ligi ya wasichana
HawajitambuiKama ni ligi za wasichana,,,,,,kwann makombe yote yanabaki pale??? Uingereza kama ni madume kwanini washindwe kubeba hata europa ligi????
Hawajitambui
Uko sawa mkuu Sergio ni kiungo mzuri sana, ila kunogesha habari sio lazima useme uongo, tunaomba uthibitisho msimu upi pep aliweka paun mil 50 kwa sergio zikakataliwa ili twende sawaAcha masihara 35 wakati pep aliweka 50 zikakataliwa au unafikir Sergio ni kma carric cio?
Kwaiyo thamani yake ni 35 kama kante cio?Uko sawa mkuu Sergio ni kiungo mzuri sana, ila kunogesha habari sio lazima useme uongo, tunaomba uthibitisho msimu upi pep aliweka paun mil 50 kwa sergio zikakataliwa ili twende sawa
Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Kiungo mbovu kuliko wote duniani, anayesafiria nyota ya baba...Nashangaa Mourinho anavyohangaika kumsajili Nemanja Matic au Eric Dier kama viungo wa ulinzi yaani namba 6.
Kwanini asimsajili Sergio Busqet, kiungo matata katika nafasi ya Defensive Midfielder. Kusema kweli Sergio Busqet ni kiungo mkabaji pengine wa muda wote sema hapewi sifa zake na wadau wa soka.
Najua mtashangaa, kwakuwa wengi mmekariri kuona namba sita akiwa na sifa ya kupiga makwanja (tackling) lakini kwa Sergio habari ni tofauti yeye anajua sana kukaba nafasi na kufanya interception huku akiwa na jicho la ziada la kuanzisha mashambulizi yenye akili. Kwakifupi huyu ndio muhimili wa Barca na Timu ya taifa ya Spain.
Ifikie muda tuanze kutambua mchango mkubwa wa Sergio hasa wakati huu ambao akina Messi na Neymar wakiongezewa mikataba minono kuliko Busqet.
Ningefurahi kama siku moja Mou au Guardiola wakimleta EPL Sergio Busquet, mmoja kati ya wachezaji wasiopewa heshima na sifa zake!
Physics ndio nini?Viungo wakabaji kwa sasa ambao ni bora ni
1. Sergei Busquet
2. Victor Wanyama
3. Casemiro
4. Mussa Dembele wa spurs
5. Arturo Vidal
Sasa hapa inategemea na aina ya mfumo. Kama mtakumbuka Javie Mascherano kabla ya kupangwa kama beki wa kati alikuwa ni binge la holding middlifilder. Lakini mfumo wa Barcelona ukampa nafasi Busquet wa kuwa kiungo mkabaji na javie kuwa central back.
Mwangalieni Victor Wanyama. Vitu alivyonavyo Kante anasubiri. Physics jamaa tupo vizuri. Skills Kante bado hamfikii huyu jamaa.
Arturo Vidal yeye anacheza jihadi. Anakaba, anashambulia na anafunga. Huyu anafanana va Casemero.
Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app
Bado hajakwiva kama namba 6 wa kisasa! Huyo hana tofauti na Makelele yani ubunifu ziroNamba 6 kama namba 6 kweli, bila ushabiki, hakunaga kama machine hii hapa
View attachment 538443 View attachment 538443