Hakuna namba 6 kama Sergio Busqet!!

Mchochezi

JF-Expert Member
Feb 29, 2012
10,414
6,574
Nashangaa Mourinho anavyohangaika kumsajili Nemanja Matic au Eric Dier kama viungo wa ulinzi yaani namba 6.

Kwanini asimsajili Sergio Busqet, kiungo matata katika nafasi ya Defensive Midfielder. Kusema kweli Sergio Busqet ni kiungo mkabaji pengine wa muda wote sema hapewi sifa zake na wadau wa soka.

Najua mtashangaa, kwakuwa wengi mmekariri kuona namba sita akiwa na sifa ya kupiga makwanja (tackling) lakini kwa Sergio habari ni tofauti yeye anajua sana kukaba nafasi na kufanya interception huku akiwa na jicho la ziada la kuanzisha mashambulizi yenye akili. Kwakifupi huyu ndio muhimili wa Barca na Timu ya taifa ya Spain.

Ifikie muda tuanze kutambua mchango mkubwa wa Sergio hasa wakati huu ambao akina Messi na Neymar wakiongezewa mikataba minono kuliko Busqet.

Ningefurahi kama siku moja Mou au Guardiola wakimleta EPL Sergio Busquet, mmoja kati ya wachezaji wasiopewa heshima na sifa zake!
 
Namba 6 kama namba 6 kweli, bila ushabiki, hakunaga kama machine hii hapa
Kante2.jpg
Kante2.jpg
 
Nashangaa Mourinho anavyohangaika kumsajili Nemanja Matic au Eric Dier kama viungo wa ulinzi yaani namba 6.

Kwanini asimsajili Sergio Busqet, kiungo matata katika nafasi ya Defensive Midfielder. Kusema kweli Sergio Busqet ni kiungo mkabaji pengine wa muda wote sema hapewi sifa zake na wadau wa soka.

Najua mtashangaa, kwakuwa wengi mmekariri kuona namba sita akiwa na sifa ya kupiga makwanja (tackling) lakini kwa Sergio habari ni tofauti yeye anajua sana kukaba nafasi na kufanya interception huku akiwa na jicho la ziada la kuanzisha mashambulizi yenye akili. Kwakifupi huyu ndio muhimili wa Barca na Timu ya taifa ya Spain.

Ifikie muda tuanze kutambua mchango mkubwa wa Sergio hasa wakati huu ambao akina Messi na Neymar wakiongezewa mikataba minono kuliko Busqet.

Ningefurahi kama siku moja Mou au Guardiola wakimleta EPL Sergio Busquet, mmoja kati ya wachezaji wasiopewa heshima na sifa zake!
ID Yangu inajieleza kbsa ninavyomkubar huyu jamaa na hatokuja kutokea kama yeye kwenye tasnia ya soccer kama kiungo mkabaji
 
Sawa 2mekuelewa lakini kumbuka football Ni biashara unamnunua Sergio kwa paundi labda 35mil unategemea atapiga mpira miaka mingapi pamoja na uzee wake na utamuuza sh ngp wkt atakuwa ameshazeeka...
 
Nashangaa Mourinho anavyohangaika kumsajili Nemanja Matic au Eric Dier kama viungo wa ulinzi yaani namba 6.

Kwanini asimsajili Sergio Busqet, kiungo matata katika nafasi ya Defensive Midfielder. Kusema kweli Sergio Busqet ni kiungo mkabaji pengine wa muda wote sema hapewi sifa zake na wadau wa soka.

Najua mtashangaa, kwakuwa wengi mmekariri kuona namba sita akiwa na sifa ya kupiga makwanja (tackling) lakini kwa Sergio habari ni tofauti yeye anajua sana kukaba nafasi na kufanya interception huku akiwa na jicho la ziada la kuanzisha mashambulizi yenye akili. Kwakifupi huyu ndio muhimili wa Barca na Timu ya taifa ya Spain.

Ifikie muda tuanze kutambua mchango mkubwa wa Sergio hasa wakati huu ambao akina Messi na Neymar wakiongezewa mikataba minono kuliko Busqet.

Ningefurahi kama siku moja Mou au Guardiola wakimleta EPL Sergio Busquet, mmoja kati ya wachezaji wasiopewa heshima na sifa zake!
Busket mwenyewe kasema Casemiro ni hatari sana katina namba wanazocheza wote

Sent from my Phantom6-Plus using JamiiForums mobile app
 
Nashangaa Mourinho anavyohangaika kumsajili Nemanja Matic au Eric Dier kama viungo wa ulinzi yaani namba 6.

Kwanini asimsajili Sergio Busqet, kiungo matata katika nafasi ya Defensive Midfielder. Kusema kweli Sergio Busqet ni kiungo mkabaji pengine wa muda wote sema hapewi sifa zake na wadau wa soka.

Najua mtashangaa, kwakuwa wengi mmekariri kuona namba sita akiwa na sifa ya kupiga makwanja (tackling) lakini kwa Sergio habari ni tofauti yeye anajua sana kukaba nafasi na kufanya interception huku akiwa na jicho la ziada la kuanzisha mashambulizi yenye akili. Kwakifupi huyu ndio muhimili wa Barca na Timu ya taifa ya Spain.

Ifikie muda tuanze kutambua mchango mkubwa wa Sergio hasa wakati huu ambao akina Messi na Neymar wakiongezewa mikataba minono kuliko Busqet.

Ningefurahi kama siku moja Mou au Guardiola wakimleta EPL Sergio Busquet, mmoja kati ya wachezaji wasiopewa heshima na sifa zake!
Labda Bakayoko, Matic, Kante na Casemiro wanacheza golf.
 
Back
Top Bottom