Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,960
- 11,221
Vijana CCM kama chama cha siasa kina katiba na itikadi zake.
Ili uwe mwanachama inabidi uelewe CCM inasimamia nini (miaka hiyo sio sasa).
Kwa sasa hakuna mbadala wa CCM kisera, lakini bado ndio nambari one.
Maana yake nini? Hakuna mwanachama mwenye hati maliki. Wote wamejiunga tu kwa kufuata katiba na kanuni.
CCM kama chama kinataratibu zake za kuendeleza wanachama na baadhi yao kupewa nafasi serikalini.
Sasa kwa sababu ulipewa nafasi na CCM aina maana una hati miliki na CCM kwa taratibu ulizozikuta wakati unatoka kijijini kwenu.
Vijana ni muda wa kuichukua CCM kutoka kwa wahuni. Vita ni maendeleo sio kutetea ufisadi.
Ili uwe mwanachama inabidi uelewe CCM inasimamia nini (miaka hiyo sio sasa).
Kwa sasa hakuna mbadala wa CCM kisera, lakini bado ndio nambari one.
Maana yake nini? Hakuna mwanachama mwenye hati maliki. Wote wamejiunga tu kwa kufuata katiba na kanuni.
CCM kama chama kinataratibu zake za kuendeleza wanachama na baadhi yao kupewa nafasi serikalini.
Sasa kwa sababu ulipewa nafasi na CCM aina maana una hati miliki na CCM kwa taratibu ulizozikuta wakati unatoka kijijini kwenu.
Vijana ni muda wa kuichukua CCM kutoka kwa wahuni. Vita ni maendeleo sio kutetea ufisadi.