Doctor Sebas
Member
- Jul 19, 2017
- 30
- 41
Hakuna Mtu Katika Dunia Hii Ambae Anafanana Na wewe
Hata Kama Mlizaliwa Mapacha Wa Kufanana Bado Wewe Utabaki Kuwa Wewe..Muda Mwingine Jifunze Kuheshimu Mawazo Yanayotoka Katika Moyo Wako Maana Hakuna Rafiki Mzuri Ulienae Akujuae Vzr Kama Nafsi Yako Mwenyewe
Wengi Watakuambia Hauwezi Lakini Nafsi Pekee itakuambia Jalibu Utaweza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Kama Mlizaliwa Mapacha Wa Kufanana Bado Wewe Utabaki Kuwa Wewe..Muda Mwingine Jifunze Kuheshimu Mawazo Yanayotoka Katika Moyo Wako Maana Hakuna Rafiki Mzuri Ulienae Akujuae Vzr Kama Nafsi Yako Mwenyewe
Wengi Watakuambia Hauwezi Lakini Nafsi Pekee itakuambia Jalibu Utaweza
Sent using Jamii Forums mobile app