Hakuna Mtu Katika Dunia Hii Ambae Anafanana Na wewe

Hakuna Mtu Katika Dunia Hii Ambae Anafanana Na wewe
Hata Kama Mlizaliwa Mapacha Wa Kufanana Bado Wewe Utabaki Kuwa Wewe..Muda Mwingine Jifunze Kuheshimu Mawazo Yanayotoka Katika Moyo Wako Maana Hakuna Rafiki Mzuri Ulienae Akujuae Vzr Kama Nafsi Yako Mwenyewe
Wengi Watakuambia Hauwezi Lakini Nafsi Pekee itakuambia Jalibu Utaweza


Sent using Jamii Forums mobile app

Hiki ndicho pekee ulichokikusudia tukifahamu Mkuu?
 
Kwahakika...
Mimi ni mimi, na lazima niweze kufika pale ninapo patamani kufikia nikiwa mimi...
 
Mkuu ahsante kwa wazo fikirishi.
Ila haujajazia nyamanyama.
Ndiyo maana M/M Muumba, wazungu wanamuita "Lord".
Maana yake ni kwamba Mungu ni tajiri asiyetetereka, asiyeishiwa kilakitu ukijuacho wewe mwanadamu.
Sura zingekuwa zinabuniwa na wasanii, ingefika sehemu wakapumzika na kusimamisha uumbaji wa binadamu kwa maelezo kuwa wameishiwa na hawajatoa sura mpya.
Unaambiwa tangu kuumbwa kwa dunia, kama ulivyosema, kila mtu ana sura yake, hata mkifanana, lkn kila mtu na sura yake, fingerprints zake na roho yake nk nk.
Na ukifa vitu hivyo hufutwa na havirudiwi kupewa mwingine, yaani vinafutwa milele.
Hayo kwa uchache ndiyo maajabu ya Mungu katika uumbaji wa mwanadamu.
 
Hakuna Mtu Katika Dunia Hii Ambae Anafanana Na wewe
Hata Kama Mlizaliwa Mapacha Wa Kufanana Bado Wewe Utabaki Kuwa Wewe..Muda Mwingine Jifunze Kuheshimu Mawazo Yanayotoka Katika Moyo Wako Maana Hakuna Rafiki Mzuri Ulienae Akujuae Vzr Kama Nafsi Yako Mwenyewe
Wengi Watakuambia Hauwezi Lakini Nafsi Pekee itakuambia Jalibu Utaweza


Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sawa,japo wazo lako siyo geni. Na pengine ni kwa vile liko kwenye lugha ya Kiswahili. Ukisoma Mendelian theories of genetics utapata maelezo mazuri kuwa watu au viumbe vya asili (specie) moja havifanani kwa kila kila kitu,na sababu zake.
 
Hakuna Mtu Katika Dunia Hii Ambae Anafanana Na wewe
Hata Kama Mlizaliwa Mapacha Wa Kufanana Bado Wewe Utabaki Kuwa Wewe..Muda Mwingine Jifunze Kuheshimu Mawazo Yanayotoka Katika Moyo Wako Maana Hakuna Rafiki Mzuri Ulienae Akujuae Vzr Kama Nafsi Yako Mwenyewe
Wengi Watakuambia Hauwezi Lakini Nafsi Pekee itakuambia Jalibu Utaweza


Sent using Jamii Forums mobile app
Good self recollection image
 
Hakuna Mtu Katika Dunia Hii Ambae Anafanana Na wewe
Hata Kama Mlizaliwa Mapacha Wa Kufanana Bado Wewe Utabaki Kuwa Wewe..Muda Mwingine Jifunze Kuheshimu Mawazo Yanayotoka Katika Moyo Wako Maana Hakuna Rafiki Mzuri Ulienae Akujuae Vzr Kama Nafsi Yako Mwenyewe
Wengi Watakuambia Hauwezi Lakini Nafsi Pekee itakuambia Jalibu Utaweza


Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona umejichanganya tena mwenyewe? Duniani wapo wengi tu wanaofanana na wewe lakini wewe ni wewe!
 
Back
Top Bottom