Mr Equalizer
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 611
- 727
Nimemsikiliza tena Lisu leo hii,
Hata wewe ukimsikiliza utangundua kuwa kuna hoja katika maelezo yake ambazo zinapaswa kujibiwa kwa hoja pia.
Nategemea serikali itakuja kumjibu huyu jamaa nasubiri kwa hamu sana .
Hata wewe ukimsikiliza utangundua kuwa kuna hoja katika maelezo yake ambazo zinapaswa kujibiwa kwa hoja pia.
Nategemea serikali itakuja kumjibu huyu jamaa nasubiri kwa hamu sana .