Pre GE2025 Mzee Wasira: Hakuna anayeweza kuahirisha uchaguzi mkuu, watanzania wajiandae

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mwanamwana

JF-Expert Member
Aug 1, 2011
1,336
4,824
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema hakuna chombo chochote cha serikali wala chama cha siasa kinachoweza kuahirisha uchaguzi mkuu wa mwaka huu, hivyo Watanzania wajiandae kwa uchaguzi huo.

Wasira amesema watu wanaotoa hoja kwamba uchaguzi mkuu hautafanyika hadi yafanyike mabadiliko ya Katiba wanajisumbua kwa kuwa makubaliano yalishafanyika madiliko ya Katiba yatafanyika baada ya uchaguzi, hivyo hakuna anayeweza kuahisha kufanyika kwa uchaguzi mkuu kwa namna yoyote.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, jana, Wasira alisema kuwa kuhusu suala la Katiba mpya makubaliano yalifanyika na kukubalika kuwa hilo litafanyika baada ya uchaguzi mkuu.

Pia soma > Pre GE2025 - Stephen Wassira: Wanaosema Uchaguzi haufanyiki hadi reform, hiyo ni ndoto ya mchana. Uchaguzi utafanyika na CCM ijiandae kushinda!
 
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema hakuna chombo chochote cha serikali wala chama cha siasa kinachoweza kuahirisha uchaguzi mkuu wa mwaka huu, hivyo Watanzania wajiandae kwa uchaguzi huo.

Wasira amesema watu wanaotoa hoja kwamba uchaguzi mkuu hautafanyika hadi yafanyike mabadiliko ya Katiba wanajisumbua kwa kuwa makubaliano yalishafanyika madiliko ya Katiba yatafanyika baada ya uchaguzi, hivyo hakuna anayeweza kuahisha kufanyika kwa uchaguzi mkuu kwa namna yoyote.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, jana, Wasira alisema kuwa kuhusu suala la Katiba mpya makubaliano yalifanyika na kukubalika kuwa hilo litafanyika baada ya uchaguzi mkuu.
Serikali imewekwa hapo na wananchi. Na katiba inasema mamlaka unatoka kwa wananchi. Hivyo wewe Mzee usitupangie pale ambapo tunaitaka mamlaka tuliyoiweka sisi ifanye tunachokihitaji kwa ajili ya taifa letu.
 
Huyo Lissu anajua kiuhalisia ccm ndiyo imeikalia serikali hakuna mhimili unaweza kumuunga mkono. Ila anataka kuwashtua watu wajue kina choendelea., katika ulimwengu wa siasa na uchaguzi..

Kwa hiyo swala siyo uchaguzi kuwepo au kutokuwepo swala ni kuwa wananchi na jumuiya za madola zitakuwa zimepigia mstari kuwa ccm ndiyo wanaa mulia serikali cha kufanya.
 
Huyo Lissu anajua kiuhalisia ccm ndiyo imeikalia serikali hakuna mhimili unaweza kumuunga mkono. Ila anataka kuwashtua watu wajue kina choendelea., katika ulimwengu wa siasa na uchaguzi..

Kwa hiyo swala siyo uchaguzi kuwepo au kutokuwepo swala ni kuwa wananchi na jumuiya za madola zitakuwa zimepigia mstari kuwa ccm ndiyo wanaa mulia serikali cha kufanya.
uchaguzi mkuu wa October uko pale pale, dunian nzima wanaalikwa kushuhudia kwa heshma na utulivu 🐒
 
Hawa watu wanajiona kama vile miungu watu, ipo siku itafika ya anguko lao na hawataamini
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema hakuna chombo chochote cha serikali wala chama cha siasa kinachoweza kuahirisha uchaguzi mkuu wa mwaka huu, hivyo Watanzania wajiandae kwa uchaguzi huo.

Wasira amesema watu wanaotoa hoja kwamba uchaguzi mkuu hautafanyika hadi yafanyike mabadiliko ya Katiba wanajisumbua kwa kuwa makubaliano yalishafanyika madiliko ya Katiba yatafanyika baada ya uchaguzi, hivyo hakuna anayeweza kuahisha kufanyika kwa uchaguzi mkuu kwa namna yoyote.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, jana, Wasira alisema kuwa kuhusu suala la Katiba mpya makubaliano yalifanyika na kukubalika kuwa hilo litafanyika baada ya uchaguzi mkuu.

Pia soma > Pre GE2025 - Stephen Wassira: Wanaosema Uchaguzi haufanyiki hadi reform, hiyo ni ndoto ya mchana. Uchaguzi utafanyika na CCM ijiandae kushinda!
 
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema hakuna chombo chochote cha serikali wala chama cha siasa kinachoweza kuahirisha uchaguzi mkuu wa mwaka huu, hivyo Watanzania wajiandae kwa uchaguzi huo.

Wasira amesema watu wanaotoa hoja kwamba uchaguzi mkuu hautafanyika hadi yafanyike mabadiliko ya Katiba wanajisumbua kwa kuwa makubaliano yalishafanyika madiliko ya Katiba yatafanyika baada ya uchaguzi, hivyo hakuna anayeweza kuahisha kufanyika kwa uchaguzi mkuu kwa namna yoyote.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, jana, Wasira alisema kuwa kuhusu suala la Katiba mpya makubaliano yalifanyika na kukubalika kuwa hilo litafanyika baada ya uchaguzi mkuu.

Pia soma > Pre GE2025 - Stephen Wassira: Wanaosema Uchaguzi haufanyiki hadi reform, hiyo ni ndoto ya mchana. Uchaguzi utafanyika na CCM ijiandae kushinda!
Mzee Wasira anadhani hilo ni ombi linaloletwa kwa CCM walifikirie!😁
 
CHADEMA ingieni kwenye uchaguzi hivyo kwa katiba iliyopo kama hawataki reform. Atakayefanya udanganyifu atajulikana
 
Back
Top Bottom