fierceman
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 553
- 758
unagombana na mpenzi wako inafika hatua mnaachana na kisha unamuomba akusamehe pale ulipo mkwaza na kuomba mrudiane lakini yeye anasema amekusamehe lakini hawezi kuwa na wewe tena kwenye mahusiano...ukijibiwa hivyo jua bado haujasamehewa kwa maana hauko nae tena kimapenzi...ndugu tujifunze kusamehe kweli na si kuact umesamehe kumbe hapana...nawasilisha