Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 3,302
- 5,409
tunashukuru sana kama una zingine shushaanaeitaka hii hapa, single click http://dl8.dlb3d.ir/Films/Saving.Private.Ryan.1998/Saving.Private.Ryan.1998.1080p-[Bi-3-Seda.Ir].mkv
tunashukuru sana kama una zingine shushaanaeitaka hii hapa, single click http://dl8.dlb3d.ir/Films/Saving.Private.Ryan.1998/Saving.Private.Ryan.1998.1080p-[Bi-3-Seda.Ir].mkv
Mhh picha je
bonge la movie la kivita
sema na we were soldiers nayo imo kwa miaka ile
Hivi Ryan alikua private au captain.?Hii movie nimeiona zamani hebu nijaribu kukumbuka leo...
Utamu wa hii movie kwanza ni story yake ambayo ni kisa cha kweli kilichotokea katika vita kuu ya pili ya dunia.
Story iko hivi, wanajeshi wa Marekani wakiwa vitani wanapigwa kipondo cha kufa mtu hali iliyopelekea wengi wao kupoteza maisha.
Sasa baadhi ya miili inarejeshwa kwenda kuzikwa Marekani.
Mama mmoja anapewa habari kuwa watoto wake watatu wamefariki katika uwanja wa kivita, mama analia sana lakini anawaambia watoto wake walikuwa wanne, hivyo kuna mmoja atakuwa aksalia kwenye uwanja wa kivita.
Basi kinatumwa kikosi kwa ajili ya kwenda kumtafuta mtoto wa nne wa yule mama, ambaye ni private ryan.
Wanamkuta private ryan katika uwanja wa vita anakiwasha kweri kweriiii (in mwendazake's voice) katika hali ya kushangaza private ryan anagoma kurudi nyumbani
Balaa sasa lipo hapo...
Vitu adimu sana hivi....kwa kweli filamu za aina hii ndio byebye.....
na mimi sipingi hiyo kitu uliyowekaNakubali kamanda
How about Tears of the Sun??
Saving Private Ryan
We were Soldiers
Black Hawk Down
Hzo ndo muvi zangu kali za kivita
kwa hiyo vijana wa sasa hivi wataipinga na extractions ?
Ewaaaaanaeitaka hii hapa, single click http://dl8.dlb3d.ir/Films/Saving.Private.Ryan.1998/Saving.Private.Ryan.1998.1080p-[Bi-3-Seda.Ir].mkv
Naikubali Pearl Habour......ina kitu adimu.....Siku hizi filamu zimejaa ushoga
hahahahahaha full metal J , YULE BONGE mazoezi alikipata cha mtema kuni ?platoon & full metal jacket
Hii movie nimeiona zamani hebu nijaribu kukumbuka leo...
Utamu wa hii movie kwanza ni story yake ambayo ni kisa cha kweli kilichotokea katika vita kuu ya pili ya dunia.
Story iko hivi, wanajeshi wa Marekani wakiwa vitani wanapigwa kipondo cha kufa mtu hali iliyopelekea wengi wao kupoteza maisha.
Sasa baadhi ya miili inarejeshwa kwenda kuzikwa Marekani.
Mama mmoja anapewa habari kuwa watoto wake watatu wamefariki katika uwanja wa kivita, mama analia sana lakini anawaambia watoto wake walikuwa wanne, hivyo kuna mmoja atakuwa aksalia kwenye uwanja wa kivita.
Basi kinatumwa kikosi kwa ajili ya kwenda kumtafuta mtoto wa nne wa yule mama, ambaye ni private ryan.
Wanamkuta private ryan katika uwanja wa vita anakiwasha kweri kweriiii (in mwendazake's voice) katika hali ya kushangaza private ryan anagoma kurudi nyumbani
Balaa sasa lipo hapo...
hahahahahahhaa wanakosa mambo ... itabidi wazame za zamaniKizazi cha netflix
Nenda kaangalie LONE SURVIVOR, alafu urudi tujadiliane upya baada ya kubadilisha title ya post yako.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Hii movie nimeiona zamani hebu nijaribu kukumbuka leo...
Utamu wa hii movie kwanza ni story yake ambayo ni kisa cha kweli kilichotokea katika vita kuu ya pili ya dunia.
Story iko hivi, wanajeshi wa Marekani wakiwa vitani wanapigwa kipondo cha kufa mtu hali iliyopelekea wengi wao kupoteza maisha.
Sasa baadhi ya miili inarejeshwa kwenda kuzikwa Marekani.
Mama mmoja anapewa habari kuwa watoto wake watatu wamefariki katika uwanja wa kivita, mama analia sana lakini anawaambia watoto wake walikuwa wanne, hivyo kuna mmoja atakuwa aksalia kwenye uwanja wa kivita.
Basi kinatumwa kikosi kwa ajili ya kwenda kumtafuta mtoto wa nne wa yule mama, ambaye ni private ryan.
Wanamkuta private ryan katika uwanja wa vita anakiwasha kweri kweriiii (in mwendazake's voice) katika hali ya kushangaza private ryan anagoma kurudi nyumbani
Balaa sasa lipo hapo...
Universal Soldiers