Hakuna movie kali ya kivita kuzidi Saving Private Ryan

Hii movie nimeiona zamani hebu nijaribu kukumbuka leo...

Utamu wa hii movie kwanza ni story yake ambayo ni kisa cha kweli kilichotokea katika vita kuu ya pili ya dunia.

Story iko hivi, wanajeshi wa Marekani wakiwa vitani wanapigwa kipindo cha kufa mtu hali iliyopelekea wengi wao kupoteza maisha.

Sasa baadhi ya miili inarejeshwa kwenda kuzikwa Marekani.

Mama mmoja anapewa habari kuwa watoto wake watatu wamefariki katika uwanja wa kivita, mama analia sana lakini anawaambia watoto wake walikuwa wanne, hivyo kuna mmoja atakuwa aksalia kwenye uwanja wa kivita.

Basi kinatumwa kikosi kwa ajili ya kwenda kumtafuta mtoto wa nne wa yule mama, ambaye ni private ryan.

Wanamkuta private ryan katika uwanja wa vita anakiwasha kweri kweriiii (in mwendazake's voice) katika hali ya kushangaza private ryan anagoma kurudi nyumbani

Balaa sasa lipi hapo...
Dduuh bora umeweka haya maelezo maana sijawahi kuielewa hii film. Sijui ndio utuuzima mambo yashaniacha mkono
 
Hii movie nimeiona zamani hebu nijaribu kukumbuka leo...

Utamu wa hii movie kwanza ni story yake ambayo ni kisa cha kweli kilichotokea katika vita kuu ya pili ya dunia.

Story iko hivi, wanajeshi wa Marekani wakiwa vitani wanapigwa kipindo cha kufa mtu hali iliyopelekea wengi wao kupoteza maisha.

Sasa baadhi ya miili inarejeshwa kwenda kuzikwa Marekani.

Mama mmoja anapewa habari kuwa watoto wake watatu wamefariki katika uwanja wa kivita, mama analia sana lakini anawaambia watoto wake walikuwa wanne, hivyo kuna mmoja atakuwa aksalia kwenye uwanja wa kivita.

Basi kinatumwa kikosi kwa ajili ya kwenda kumtafuta mtoto wa nne wa yule mama, ambaye ni private ryan.

Wanamkuta private ryan katika uwanja wa vita anakiwasha kweri kweriiii (in mwendazake's voice) katika hali ya kushangaza private ryan anagoma kurudi nyumbani

Balaa sasa lipi hapo...
Uko vizuri kiongozi.....ile scene ya mwisho mwisho baada ya kumpata private Ryan pale ambapo askari wa kijerumani anamchoma kisu yule askari wa US.....daaa......
 
Hii movie nimeiona zamani hebu nijaribu kukumbuka leo...

Utamu wa hii movie kwanza ni story yake ambayo ni kisa cha kweli kilichotokea katika vita kuu ya pili ya dunia.

Story iko hivi, wanajeshi wa Marekani wakiwa vitani wanapigwa kipindo cha kufa mtu hali iliyopelekea wengi wao kupoteza maisha.

Sasa baadhi ya miili inarejeshwa kwenda kuzikwa Marekani.

Mama mmoja anapewa habari kuwa watoto wake watatu wamefariki katika uwanja wa kivita, mama analia sana lakini anawaambia watoto wake walikuwa wanne, hivyo kuna mmoja atakuwa aksalia kwenye uwanja wa kivita.

Basi kinatumwa kikosi kwa ajili ya kwenda kumtafuta mtoto wa nne wa yule mama, ambaye ni private ryan.

Wanamkuta private ryan katika uwanja wa vita anakiwasha kweri kweriiii (in mwendazake's voice) katika hali ya kushangaza private ryan anagoma kurudi nyumbani

Balaa sasa lipo hapo...
umetisha mkuu umenihamasisha niisake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom