Operation red seaSaving Private Ryan
We were Soldiers
Black Hawk Down
Hzo ndo muvi zangu kali za kivita
sema wale wavietinam walikuwa hatari sanaKwanza yale mazoezi, halafu jinsi jamaa walivyokutana ile alfajiri nankupanda mabasi kuelekea.....halafu jinsi taarifa za vifo zilivyokuwa zinaletwa kwa wake zao....halafu kwenye uwanja wa vita...daaa....yule mwandishi wa habari......
Dduuh bora umeweka haya maelezo maana sijawahi kuielewa hii film. Sijui ndio utuuzima mambo yashaniacha mkonoHii movie nimeiona zamani hebu nijaribu kukumbuka leo...
Utamu wa hii movie kwanza ni story yake ambayo ni kisa cha kweli kilichotokea katika vita kuu ya pili ya dunia.
Story iko hivi, wanajeshi wa Marekani wakiwa vitani wanapigwa kipindo cha kufa mtu hali iliyopelekea wengi wao kupoteza maisha.
Sasa baadhi ya miili inarejeshwa kwenda kuzikwa Marekani.
Mama mmoja anapewa habari kuwa watoto wake watatu wamefariki katika uwanja wa kivita, mama analia sana lakini anawaambia watoto wake walikuwa wanne, hivyo kuna mmoja atakuwa aksalia kwenye uwanja wa kivita.
Basi kinatumwa kikosi kwa ajili ya kwenda kumtafuta mtoto wa nne wa yule mama, ambaye ni private ryan.
Wanamkuta private ryan katika uwanja wa vita anakiwasha kweri kweriiii (in mwendazake's voice) katika hali ya kushangaza private ryan anagoma kurudi nyumbani
Balaa sasa lipi hapo...
Uko vizuri kiongozi.....ile scene ya mwisho mwisho baada ya kumpata private Ryan pale ambapo askari wa kijerumani anamchoma kisu yule askari wa US.....daaa......Hii movie nimeiona zamani hebu nijaribu kukumbuka leo...
Utamu wa hii movie kwanza ni story yake ambayo ni kisa cha kweli kilichotokea katika vita kuu ya pili ya dunia.
Story iko hivi, wanajeshi wa Marekani wakiwa vitani wanapigwa kipindo cha kufa mtu hali iliyopelekea wengi wao kupoteza maisha.
Sasa baadhi ya miili inarejeshwa kwenda kuzikwa Marekani.
Mama mmoja anapewa habari kuwa watoto wake watatu wamefariki katika uwanja wa kivita, mama analia sana lakini anawaambia watoto wake walikuwa wanne, hivyo kuna mmoja atakuwa aksalia kwenye uwanja wa kivita.
Basi kinatumwa kikosi kwa ajili ya kwenda kumtafuta mtoto wa nne wa yule mama, ambaye ni private ryan.
Wanamkuta private ryan katika uwanja wa vita anakiwasha kweri kweriiii (in mwendazake's voice) katika hali ya kushangaza private ryan anagoma kurudi nyumbani
Balaa sasa lipi hapo...
nakubaliiiiiUniversal Soldiers
Mkuu hebu jaribu kuangalia fury ya brad Pitt.Hii ni mwisho wa matatizo, kwanza mwanzo tu wa movie kama una roho nyepesi huwezi kuendelea kutazama. Watu walichakazwa na risasi yaani sio poa.
Hivi kuna movie ya kivita kali zaidi ya hii? Nitajie kama ipo
hii sikuwahi kuiona , ngoja niifanyie kazi na wkend hii ndefuLone Survivor
Dduuh bora umeweka haya maelezo maana sijawahi kuielewa hii film. Sijui ndio utuuzima mambo yashaniacha mkono
ngoja niitafute hapa.Hii ni mwisho wa matatizo, kwanza mwanzo tu wa movie kama una roho nyepesi huwezi kuendelea kutazama. Watu walichakazwa na risasi yaani sio poa.
Hivi kuna movie ya kivita kali zaidi ya hii? Nitajie kama ipo
hii nami kiukweli naiwekaga namba moja kati ya nilizoangaliaBro hujaangalia " WE WERE SOLDIERS "wewe
kwa hiyo vijana wa sasa hivi wataipinga na extractions ?
umetisha mkuu umenihamasisha niisakeHii movie nimeiona zamani hebu nijaribu kukumbuka leo...
Utamu wa hii movie kwanza ni story yake ambayo ni kisa cha kweli kilichotokea katika vita kuu ya pili ya dunia.
Story iko hivi, wanajeshi wa Marekani wakiwa vitani wanapigwa kipindo cha kufa mtu hali iliyopelekea wengi wao kupoteza maisha.
Sasa baadhi ya miili inarejeshwa kwenda kuzikwa Marekani.
Mama mmoja anapewa habari kuwa watoto wake watatu wamefariki katika uwanja wa kivita, mama analia sana lakini anawaambia watoto wake walikuwa wanne, hivyo kuna mmoja atakuwa aksalia kwenye uwanja wa kivita.
Basi kinatumwa kikosi kwa ajili ya kwenda kumtafuta mtoto wa nne wa yule mama, ambaye ni private ryan.
Wanamkuta private ryan katika uwanja wa vita anakiwasha kweri kweriiii (in mwendazake's voice) katika hali ya kushangaza private ryan anagoma kurudi nyumbani
Balaa sasa lipo hapo...
usicheke ile movie iliisha kiboya sana
Bila picha hainogi
mkuu kwema lakini , naona leo umetukumbusha mambo adimu kipindi kile madirector wanakupeleka utafikiri kitu cha kweli kabisa ...Nenda kagoogle kamanda