Hakuna mgogoro wowote CHADEMA-Wenje

Hakuna mgogoro wowote CHADEMA-Wenje

CDM acheni kujidangaja na kujipa sifa za kijinga ingawa ukweli unauma lakini ndani ya chama chenu hali sio shwari kama mnavyojidanganya hapa na kupeana moyo ukweli unajionesha hapa jf kutukanana viongozi kwa viongozi na wengine kuhama chama ingawa kwa akili zenu na mawazo mgando eti wamenunuliwa na ccm eleweni chechea ndio iliyoanzisha moto mkubwa
Wewe mbona unalazimisha mambo, mwenye kaya amekwambia hakuna mgogoro wewe unakomaa kuna mgogoro. Umetumwa nini?
 
Operations zinaendelea kwa kasi,mimi ZZK sitaki kushiriki kujenga chama,nasubiri kugombea urais tu!
 
Mbowe hakusema maneno hayooooo, alisema atasimamiakama Mwenyekiti wa chama kupata mgonbe uraisi 2015.....la kumtaja Dr Slaa ni maneno ya Gazeti la Mwananchi pekeeeeee

Ni Dr.Slaa 2015 by Freeman Mbowe.Kwa Style hii makundi yatakosekana kweli?kuna demokrasia ya ukweli hapa?ni cdm pekee ndo wameshatangaza mgombea wa urais na tena bila kufuata utaratibu wa kidemokrasia ndani ya chama chao,tukubali,mbowe ameteleza kwenye hili na amesababisha mwanzo wa makundi mengine ndani ya cdm
 
Ni mbumbumbu wa siasa pekee ambaye ataamini Chadema hakuna mgogoro.
 
Ni Dr.Slaa 2015 by Freeman Mbowe.Kwa Style hii makundi yatakosekana kweli?kuna demokrasia ya ukweli hapa?ni cdm pekee ndo wameshatangaza mgombea wa urais na tena bila kufuata utaratibu wa kidemokrasia ndani ya chama chao,tukubali,mbowe ameteleza kwenye hili na amesababisha mwanzo wa makundi mengine ndani ya cdm

Masalia bado hamjasalimu Amri tu?
 
Mkuu,
Hizi swaga kama hizi hata CCM ndizo walizokuwa wanazitumia, unfortunate, hata wewe/ninyi mmezikwapua.

Uchaguzi wa ndani na kuelekea kwenye chaguzi za nchi ndizo zitathibitisha usemi wako. Mtaji wa kisiasa nchini ndio unaweza kuwa ni kitanzi chake kama viongozi wataendelea kuwa na swaga kama zako.

Hii nisemayo ni sauti tu ya nyikani. Take my word, CHADEMA kuna kundi/makundi.

Lipo kundi haramu la Pindua Mbowe Group-PM7 ambalo dawa yake inachemka.
 
Nakukubali sana kamanda Wenje, kweli CHADEMA hakuna mgogoro ila kuna baadhi vijana wenye njaa ambao wamekuwa waitumiwa na maadui wa CHADEMA waliopo ndani na nje ya CHADEMA ili kutoa matamko ya kipumbavu ili kukiua chama.

Heri ya mwaka mpya mkuu Shardcole.Huu ndiyo mwisho wa kundi haramu la PM7
 
Last edited by a moderator:
Ukificha maradhi kilio kitakuumbua. Karatu baadhi ya watendaji wamesimamishwa na uchunguzi dhidi ya ubadhirifu unaendelea. Ilemela mambo si shwari, Mpanda wamefukuzwa watu na Mbeya pia! Wenjen Mwl Nyerere alisema "Mubhisabhisa bhurweri ekirilo kilimubhura" yaan ukificha ugonja... Nawatakia mwaka 2013 mwema!

Acha kuota ndoto za mchana wewe.
 
CDM acheni kujidangaja na kujipa sifa za kijinga ingawa ukweli unauma lakini ndani ya chama chenu hali sio shwari kama mnavyojidanganya hapa na kupeana moyo ukweli unajionesha hapa jf kutukanana viongozi kwa viongozi na wengine kuhama chama ingawa kwa akili zenu na mawazo mgando eti wamenunuliwa na ccm eleweni chechea ndio iliyoanzisha moto mkubwa

Heri ya mwaka mpya ndugu yangu
 
Mtu mnafiki ni mbaya kuliko mchawi.Kwa nini viongozi waseme uongo wakati kuna mambo hayaendi sawa ndani ya chama.Mficha ugonjwa mauti humuumbua.

Mauti itakuumbua wewe na unafiki wako.
 
Poti ulisiza bhageshi,hivi nidokezee hayo makundi/kundi unavyothibisha kwa nguvu zote yako wapi vile je ni ya kina nani vile,nijuavyo mimi ilikuwa ni masalia aka PM7 lakini wamebainika na utaratibu wa kuwashughulikia uko mezani na tunajua waliouasisi na supoort kubwa pia wanapata kutoka CCM akiwemo Mwigulu.sasa naona bhageshi unauhakika kundi/makundi yapo wakati wengine hatuyaoni,au labda unajua yanenda kuanzishwa mengine?basi tudokezee poti,maana siku hizi mawasiliano ya kila aina yapo hata nikiwa Ikungulya bhashasi,au Senani taarifa zitanifikia,hebu nidokezee poti,maana mi najua kalikuwepo kajikundi ka masalia nako kamebainika.

Mkuu jigoku asante kwa kumfundisha huyo asiyesikia.
 
Last edited by a moderator:
Makamanda tuko nyuma yenu umati mkubwa tutapigana mpaka kieleweke hakuna kulala kabisa
 
Hiyo ni kazi ya propaganda ya ccm ambayo ndiyo iliyobakia tu maana kama kuwatumikia wananchi wameshindwa.
 
Last edited by a moderator:
Poti ulisiza bhageshi,hivi nidokezee hayo makundi/kundi unavyothibisha kwa nguvu zote yako wapi vile je ni ya kina nani vile,nijuavyo mimi ilikuwa ni masalia aka PM7 lakini wamebainika na utaratibu wa kuwashughulikia uko mezani na tunajua waliouasisi na supoort kubwa pia wanapata kutoka CCM akiwemo Mwigulu.sasa naona bhageshi unauhakika kundi/makundi yapo wakati wengine hatuyaoni,au labda unajua yanenda kuanzishwa mengine?basi tudokezee poti,maana siku hizi mawasiliano ya kila aina yapo hata nikiwa Ikungulya bhashasi,au Senani taarifa zitanifikia,hebu nidokezee poti,maana mi najua kalikuwepo kajikundi ka masalia nako kamebainika.

Nenhe nalimhola.
Bhageshi, Kundi/makundi huwezi kuyaona kwa jicho moja. Watu wengi hapa wanaonekana wameshiba propoganda za vijiweni hata hawatafuti tena ukweli kwa sababu macho yao pia yamezibwa.

Hii ni sauti ya nyikani bhageshi. Muda utatufunulia zaidi.
 
Tushikamane na Tuzike Tofauti zetu, TUKEMEE Uchu wa kusaka Maslahi Binafsi na kubembeleza urafiki usio na TIJA na watawala.
 
Back
Top Bottom