Poti ulisiza bhageshi,hivi nidokezee hayo makundi/kundi unavyothibisha kwa nguvu zote yako wapi vile je ni ya kina nani vile,nijuavyo mimi ilikuwa ni masalia aka PM7 lakini wamebainika na utaratibu wa kuwashughulikia uko mezani na tunajua waliouasisi na supoort kubwa pia wanapata kutoka CCM akiwemo Mwigulu.sasa naona bhageshi unauhakika kundi/makundi yapo wakati wengine hatuyaoni,au labda unajua yanenda kuanzishwa mengine?basi tudokezee poti,maana siku hizi mawasiliano ya kila aina yapo hata nikiwa Ikungulya bhashasi,au Senani taarifa zitanifikia,hebu nidokezee poti,maana mi najua kalikuwepo kajikundi ka masalia nako kamebainika.