Hakuna mbadala wa Magufuli kwa sasa, Hakuna...

Hakuna mbadala wa Magufuli kwa sasa, Hakuna...

Kibundi wa getto

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
455
Reaction score
878
Wakuu,watu wamekua wanafiki wa kiwango kikubwa sana.Leo hii wanaona Magufuli hafai lakini wanasahau nchi hii imeibiwa kwa muda mrefu.

Toka awamu ya 3 mpaka ya 4 watu wanaiba tu,kwanzia uongozi wa juu mpaka ngazi ya kata.Kila mtu alikua fisadi,na pesa nyingi mnaosema imepotea kwenye mzunguko ndio hiyo pesa ya wizi kila idara ya serikali.

Tulikua tunaishi fake life,nchi ilikua inauzwa kila idara.Leo hii Rais anashindwa kusafiri kwenda duniani huko sababu waliokua wanasafiri kabla yake waliuza kila kitu.Mikataba imesainiwa kila idara hakuna kuliko wazi.

SIRI AMBAYO WENGI HAMUIFAHAMU

Magufuri hajawa Rais kwa bahati mbaya,baada ya nchi kuibiwa kwa muda mrefu ilionekana hakuna mtu mwingine yeyote wa kuachiwa hili zigo la MISUMARI zaidi ya Magufuri.

Pamoja na mabaya yote aliyoyafanya JK,zawadi pekee aliyotuachia ni MAGUFULI.Hakutaka kutuachia wezi wengine atimae tungerudi utumwani.

Hii tabia alionayo Magufuri ndio ilimpa 100% ya kuaminika na kukubalika kuachiwa nchi iliyopitia vipindi vya kifisadi kwa muda mrefu.

Magufuri aliachiwa zigo la MISUMARI,tena zigo kweli kweli.

Narudia tena,kwa sasa hakuna mbadala wa Magufuri....HAKUNA...HAKUNA.
 
Magufuli ni chuma... Kikwete asante sana kwa kutuletea chumaa
 
Ni kweli HAKUNA. Wengine waliobaki wametawaliwa na TAMAA na UBINAFSI.
 
Hivi mbadala si lazima awe zaidi ya aliyepo?
Kama ni hivyo uko sahihi, hakuna mtanzania anayeweza kuwa Rais wa nchi hii halafu akafanya ukatili kama Rais wa Rwanda, HAKUNA!
 
Wakuu,watu wamekua wanafiki wa kiwango kikubwa sana.Leo hii wanaona Magufuri hafai lakini wanasahau nchi hii imeibiwa kwa muda mrefu.

Toka awamu ya 3 mpaka ya 4 watu wanaiba tu,kwanzia uongozi wa juu mpaka ngazi ya kata.Kila mtu alikua fisadi,na pesa nyingi mnaosema imepotea kwenye mzunguko ndio hiyo pesa ya wizi kila idara ya serikali.

Tulikua tunaishi fake life,nchi ilikua inauzwa kila idara.Leo hii Rais anashindwa kusafiri kwenda duniani huko sababu waliokua wanasafiri kabla yake waliuza kila kitu.Mikataba imesainiwa kila idara hakuna kuliko wazi.

SIRI AMBAYO WENGI HAMUIFAHAMU

Magufuri hajawa Rais kwa bahati mbaya,baada ya nchi kuibiwa kwa muda mrefu ilionekana hakuna mtu mwingine yeyote wa kuachiwa hili zigo la MISUMARI zaidi ya Magufuri.

Pamoja na mabaya yote aliyoyafanya JK,zawadi pekee aliyotuachia ni MAGUFURI.Hakutaka kutuachia wezi wengine atimae tungerudi utumwani.

Hii tabia alionayo Magufuri ndio ilimpa 100% ya kuaminika na kukubalika kuachiwa nchi iliyopitia vipindi vya kifisadi kwa muda mrefu.

Magufuri aliachiwa zigo la MISUMARI,tena zigo kweli kweli.

Narudia tena,kwa sasa hakuna mbadala wa Magufuri....HAKUNA...HAKUNA.
Mahakama ya ufisadi iliyoanzishwa imewatia hatiani mafisadi wangapi mpaka sasa?
Hizi ngonjera watu wamizochoka.
 
kwa madudu yanayoendelea sasa kwa taifa letu mara mia Kikwete. ndani ya muda mfupi katiba imewekwa pembeni. vifungu vinavyotumika zaidi ni vya uteuzi ili kupeana ulaji...
 
Back
Top Bottom