Hakuna likizo kwa watoto wa shule

Kiplayer

JF-Expert Member
Oct 12, 2018
1,001
1,572
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa ongezeko la siku za masomo kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari, likizo nazo wanaendelea kusoma. Najiuliza hivi hizi likizo hazina maana tena? Au vichwa vya kileo vinataka mtindo huu ili viwe na ufanisi?
 
CCM wameua Elimu ,kuanzia chekechea tuition,msingi tuition,sekondari tuition,Advance tuition,Chuo tuition by Tundu Lissu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…