Hakuna kura zinazoharibika bali hutupwa Kwa masirahi binafsi wagombea kaaeni chonjo

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,403
KURA ni utaratibu maalum wa kumpata anaestahili Kutokana na idadi ya waliomchagua! Huwa nashangaa kusikia kuna kura idadi kubwa zinatajwa kuwa zimeharibika. Mi nazani kuriko kuhesabu kwamba zimeharibika ziwe zinahesabiwa zote Kwa utaratibu huu.
Mfano kuna wagombea (A,B,C,D)
1. Mpiga kura anaweza tia tick Kwa mgombea (A), hapo itahesabika kapigiwa kura ya ndiyo mgombea (A)
2. Mpiga kura anaweza tia tick Kwa mgombea (A,B na C) HAPO ISITAJWE KWAMBA IMEHARIBIKA bali mpiga kura huonesha anawakubali wote, kwahiyo ni vyema kugawana point yaan (1/3) Kwa kila mmoja apatiwa kura ya ndiyo.
3. Mpiga kura anaweza weka alama ya (X) Kwa woote, hapo ni sawa kuwakataa wote, hapo mpiga kura anakuwa hajaridhishwa na yeyote!
4. Mpiga kura anaweza kuweka tick Kwa mgombea mmoja, pia siyo kosa akionesha kuchukizwa Kwa kumuwekea alama ya (X) asiye mpenda, hapo itazamwe yenye tick ndiyo chaguo lake.
HAKUNA KURA INAYOHARIBIKA BALI NI UVIVU UNAOFANYWA ILI KUINGIZA MAZINGILA TATA YA USHINDI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…