‘Hakuna kufanya mapenzi mpaka ndoa!’ Wanawake wengi wanabugi kwa sharti hili

Nyoka_mzee

JF-Expert Member
Nov 26, 2016
3,695
5,515
Naomba ifahamike wazi linapokuja swala la kufanya sex mwanamke anaweza kuvumilia kutofanya sex kwa muda mrefu, tofauti na mwanaume.

Nimekutana na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wakilalamika kuwekewa masharti haya magumu na watoto wa kike la kutokufanya mapenzi mpaka ndoa.
Kidini na kimaadili ni jambo jema na liko sahihi kabisa.

Shida inapokuja kwa Dunia ya sasa tuliokuwa nayo imekuwa ni shida na ni ngumu jambo hili kutekelezeka na limejikuta likiwaacha wadada wengi wakilia na kusaga meno kwa sababu mbalimbali, wapo ambao wengi husingizia wao ni bikra na hawatofanya mpaka waolewe.

Yupo dada mmoja alijinasibu kuwa yeye ni bikra na hatoi penzi mpaka aolewe, jamaa alijikusuru na kubebea mzigo akidhani binti anayemuowa ni bikra matokeo yake alikuta tofauti na jamaa alishindwa kuvumilia na kumwacha mwanamke.

Nilipokuwa nimekaa na yule binti na kumuuliza kwanini aliamua kumwongopewa mshkaji kwamba ni bikra na hampi mpaka amuoe, jibu aliniambia amechoka kuchezewa alifanya hivyo ili aolewe, swali nililomuuliza haya umeolewa na je umedumu katika ndoa?

Ukweli usiopingika hakuna mwanaume anayeweza kuvumilia hili jambo na kama wapo ni wachache na wengi wanaogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia na kama basi ataweza kustahamili mpaka ndoa basi kaeni fika mkijua kuna sehemu anapunguza ugwadu.

Binaadamu yeyote anayekula akashiba na hasa vyakula hivi vyetu vya kisasa, lazima matamanio yaje, tuache kuigiza tuje kwenye uhalisia kama umempenda mtu basi mpe haki yake laasivyo jiandae yafuatayo;
1: Kusalitiwa ,
2: Au kuachwa kwenye mataa

Chaguo ni lako.
 
umeona eee ila wao Wanatuona kama maroboti aiseee
Jambo la kwanza ni kuwekeana mikakati ya kweli.
No sex had ndoa,sawa LAKINI
1.Usije ukawa unatoka na mtu while unasubiriwa uolewe,maana ni sawa na kusubiri embe liive while wenzio wanaangua likiwa bichi wanakula kwa chumvi.
2.Lazima mabint wawe wakweli,usimwambie jamaa kuwa wewe ni bikra while sio
3.Ndoa isichelewe sana kama mna nia ya ndoa (Hapo mtaepuka changamoto ya 1 na ya 2)
 
Jambo la kwanza ni kuwekeana mikakati ya kweli.
No sex had ndoa,sawa LAKINI
1.Usije ukawa unatoka na mtu while unasubiriwa uolewe,maana ni sawa na kusubiri embe liive while wenzio wanaangua likiwa bichi wanakula kwa chumvi.
2.Lazima mabint wawe wakweli,usimwambie jamaa kuwa wewe ni bikra while sio
3.Ndoa isichelewe sana kama mna nia ya ndoa (Hapo mtaepuka changamoto ya 1 na ya 2)
Ni kweli kabisa ,wakati huu kufikia ndoa ni kugumu maana ndoa zimekuwa zikipanga baada miaka miwili au mitatu ebu tuelezane nani anaweza kusubiri ndani ya miaka hiyo mitatu kama si kudanganyana huku
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Unang'ang'ania hadi ndoa unakuta jamaa hapandi mtungi, kuonjana ndo habari ya mjini kila mtu arizike na mzigo.
umeona nalo neno hilooo yaan haya mambo ni vyema tukayaangalia upya aisee,maana Rijal mzima anaambia hapewi mzigo mpaka ndoa naye kweli anasubiri huwoni hapa kuna shida mahali?
 
Back
Top Bottom