Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
Kiranja hana imani na watz labda suma jkt tu, wengine ni wezi, wala rushwa na wapiga dili nyie kazi yenu ni kulipa kodi na fine. Kodi yenu yeye anaitumia vizuri kununua midege na kulipa kandarasi za nje.Juzi nimerudi kutoka Pakistan
Leo nikawa naelekea mbezi kwa nigga wangu mmoja hivi, nafika pale ubungo naona Kuna ujenzi wa barabara mpya cha kusikitisha tenda inasimamiwa na mchina
Hivi wakandarasi wa bongo wako wapi??? Hawa graduates wa mlimani wanashindwa hata kujenga barabara???
Sent using Jamii Forums mobile app