Hakuna kiongozi au binadamu aliyekamilika, leo imedhihirika JPM alikuwa anakubalika kwa wanyonge na sio kwa mafisadi na matapeli ya kisiasa

Wewe ni baradhuli na fedhuli.

Huyu Mfu aliwafundisha kutukana kila anayekosoa hoja yake, sasa mifano ndio haya majibu mnaona.

Wahindi na waarabu siwaoni kwenye kuaga

Mama Samia naomba tenda zote ukishika madaraka usimpe mhindi wala mwarabu hadi muda huu masaa kibao sijaona mhindi au mwarabu akimuaga Marehemu Magufuli.Akufaaye kwa dhiki ndie Rafiki naona wahindi na waarabu wametususia watanzania ngozi nyeusi.Sio kesi .Wanajitia watanzania wenzetu msibani hadi muda huu hawajatokea .Heri utoe tenda kwa waswahili kuliko hawa wahindi na waarabu

Mabalozi wa nje pia kuna aliyewaona kuaga? ili tumshauri vizuri Raisi wetu?
Wanajielewa kuna Corona na ndio imetoa mfano huu wa mazishi haya kwa wengine.
Sasa matokeo haya ya kuuaga mwili utayaona muda sio mrefu.
Hata Wachina mnaowaabudu ambao wamewaletea huyu mdudu wanajua joto yake walivyofanya sherehe ya mwaka mpya 2019.
 
Back
Top Bottom