Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 3,816
- 8,469
Wewe ni baradhuli na fedhuli.
Huyu Mfu aliwafundisha kutukana kila anayekosoa hoja yake, sasa mifano ndio haya majibu mnaona.
Wanajielewa kuna Corona na ndio imetoa mfano huu wa mazishi haya kwa wengine.Wahindi na waarabu siwaoni kwenye kuaga
Mama Samia naomba tenda zote ukishika madaraka usimpe mhindi wala mwarabu hadi muda huu masaa kibao sijaona mhindi au mwarabu akimuaga Marehemu Magufuli.Akufaaye kwa dhiki ndie Rafiki naona wahindi na waarabu wametususia watanzania ngozi nyeusi.Sio kesi .Wanajitia watanzania wenzetu msibani hadi muda huu hawajatokea .Heri utoe tenda kwa waswahili kuliko hawa wahindi na waarabu
Mabalozi wa nje pia kuna aliyewaona kuaga? ili tumshauri vizuri Raisi wetu?
Sasa matokeo haya ya kuuaga mwili utayaona muda sio mrefu.
Hata Wachina mnaowaabudu ambao wamewaletea huyu mdudu wanajua joto yake walivyofanya sherehe ya mwaka mpya 2019.