Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,606
Kilimo ni kazi inayotoa sana. Ukilima ukawa serious kabisa , mtumishi wa umma na kamshahara kake hamna kitu kabisa. Ukilima maeneo yenye maji yanayotirika kwa gravity muda wote unatoka haraka sana.Na ukizingatia mazao mengi yanachukua miezi 3 mpk 5 tayari hela ipo makalioni.
Kilimo cha umwagiliaji kwa mifereji ya asili ni kizuri sana. Mbogamboga hasa vitunguu vinatoa watu sana.
Hakuna kazi rahisi kama kilimo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilimo cha umwagiliaji kwa mifereji ya asili ni kizuri sana. Mbogamboga hasa vitunguu vinatoa watu sana.
Hakuna kazi rahisi kama kilimo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilimo cha kwenye PDF bana, rahisi sana
