SIMU YA TOCHI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2014
- 1,384
- 892
Karibuni Tanzania... Nchi ambayo kitu kirahisi Kukipata bila Rushwa ni Mimba tu
Vipi ulipata mgao wa 10bln?Ndugu wanajamvi habari ya mda huu?
Kwa masikitiko makubwa niseme kwa wazalendo wa nchi hii wanaopenda kuona nchi yetu inasonga mbele tuandike tumeumia kwa hakika. Nasema haya kwa hoja kuu mbili
Moja tuanzie bungeni wiki iliyopita wabunge wa ccm wamehongwa mil. 10 kila moja rais alipoulizwa majibu yake tunajua wote alivyojibu
Pili rais amesema hafukui makaburi mana yake kuhusu escrow, epa, lugumi, iptl,tangold, meremeta, richmound nakadhalika hatagusa. Sasa kuna jipya gani?
Kwa muhtasari huu magufuli amedanganya watanzania wakamwamini kumbe yeye hakuwa na nia ya dhati kushughulikia uozo huu mkubwa je nani anafungwa kama ufisadi wote huu hakamatwi mtu
Tuandike tumeumia wenye akili wataelewa maana ya maneno haya watanzania tusitegemee mapya kutoka ccm kwa kuwa ufisadi ni ccm na ccm ni ufisadi ni sawa na mtoto kumkana baba yake ni kitu haiwezekani
?????Hata CHADEMA na UKAWA yao ndo walewale tu.
Waliyemwita fisadi miaka nenda rudi leo hii ndo kiongozi wao [de facto].
Sasa hivi wapinzani wana mamlaka yepi ya kimaadili ya kuwasema CCM kuhusu ufisadi wao?
Watanzania tumieni kichwa kufikiria, inasikitisha sana. Tunasikitisha jinsi JPM anavyojiapiza kulinda mafisadi wanaotafuna nchi mpaka sasa na wanaendelea kutafuna nchi kupitia mikataba mibovu ya kinyonyaji wengine mnaleta ushabiki wa ki@#&*%# wa kivyama.Tena cdm njaa yao ni mbaya.
Kwa sasa hakuna.atakayedhubutu kutamka neno ufisadi, bosi wao na.mfadhiri wao.atakata mrija
ongea hoja iliyopo mezani wew unaona ni siwa wabunge kuhongwa ili mswada upite sio ukiacha cdm mana hao baada ya kujiridhisha kuwa lowasa hakuwa mwizi ila mwizi ni bosi wake ndo wakampokea
Lakini nia yao si ni kushika dola na kutawala? Wanatakiwa wapigwe kurunzi hata kabla hawajashika dola ili tufahamu tusije tukaruka maji tukaenda kukanyaga moto.Mkuu, anayetawala nchi hii ni ccm, tusizoee kuwa kila watawala wanapokosolewa tunakimbilia kujificha nyuma ya vyama ambavyo havijashika dola. Na ni vizuri tukumbuke kuwa mamilioni ya raia wa nchi hii si wanachama wa chama chochote cha siasa. Kwa hiyo kwa mfano nikihoji madudu ya watawala, usiniambie kuhusu NCCR, CHADEMA, CUF, ACT nk. Kwa sababu vyama hivyo havitawali nchi hii. Na pia mimi siyo mwanachama wa vyama hivyo.
Mkuu sina tatizo na wao kupigwa kurunzi. Kasoro kubwa ninayoona ni pale kila unapotajwa uovu wa watawala, baadhi humu wanaibuka na porojo za 'hata ACT, CUF, CHADEMA nk.....blah blah blah!!!' Hivi kweli mkuu, watawala ambao wameapa kuilinda nchi yetu halafu wakashindwa ku-deal hata na ESCROW au IPTL ambayo imeitafuna nchi hii kwa zaidi ya miaka ishirini wasihojiwe kwa kisingizio cha CHADEMA au CUF?! Nchi inaporwa wao wako pembeni kama vile haiwahusu halafu kuna watu wanataka wasisemwe! Sheria zinatumika dhidi ya wanyonge lakini ikitokea watawala au ndugu zao wamefanya makosa yaleyale inatumika nguvu kubwa kutetea na kufunika uozo badala ya kuwajibisha wahusika! Wapi LUGUMI???Lakini nia yao si ni kushika dola na kutawala? Wanatakiwa wapigwe kurunzi hata kabla hawajashika dola ili tufahamu tusije tukaruka maji tukaenda kukanyaga moto.
bora fisadi wa jana au fisadi wa leo?Hata CHADEMA na UKAWA yao ndo walewale tu.
Waliyemwita fisadi miaka nenda rudi leo hii ndo kiongozi wao [de facto].
Sasa hivi wapinzani wana mamlaka yepi ya kimaadili ya kuwasema CCM kuhusu ufisadi wao?
Hata CHADEMA na UKAWA yao ndo walewale tu.
Waliyemwita fisadi miaka nenda rudi leo hii ndo kiongozi wao [de facto].
Sasa hivi wapinzani wana mamlaka yepi ya kimaadili ya kuwasema CCM kuhusu ufisadi wao?
Una ushahidi