maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,774
- 2,297
Ndugu wanajamvi habari ya mda huu?
Kwa masikitiko makubwa niseme kwa wazalendo wa nchi hii wanaopenda kuona nchi yetu inasonga mbele tuandike tumeumia kwa hakika. Nasema haya kwa hoja kuu mbili
Moja tuanzie bungeni wiki iliyopita wabunge wa ccm wamehongwa mil. 10 kila moja rais alipoulizwa majibu yake tunajua wote alivyojibu
Pili rais amesema hafukui makaburi mana yake kuhusu escrow, epa, lugumi, iptl,tangold, meremeta, richmound nakadhalika hatagusa. Sasa kuna jipya gani?
Kwa muhtasari huu magufuli amedanganya watanzania wakamwamini kumbe yeye hakuwa na nia ya dhati kushughulikia uozo huu mkubwa je nani anafungwa kama ufisadi wote huu hakamatwi mtu
Tuandike tumeumia wenye akili wataelewa maana ya maneno haya watanzania tusitegemee mapya kutoka ccm kwa kuwa ufisadi ni ccm na ccm ni ufisadi ni sawa na mtoto kumkana baba yake ni kitu haiwezekani
Kwa masikitiko makubwa niseme kwa wazalendo wa nchi hii wanaopenda kuona nchi yetu inasonga mbele tuandike tumeumia kwa hakika. Nasema haya kwa hoja kuu mbili
Moja tuanzie bungeni wiki iliyopita wabunge wa ccm wamehongwa mil. 10 kila moja rais alipoulizwa majibu yake tunajua wote alivyojibu
Pili rais amesema hafukui makaburi mana yake kuhusu escrow, epa, lugumi, iptl,tangold, meremeta, richmound nakadhalika hatagusa. Sasa kuna jipya gani?
Kwa muhtasari huu magufuli amedanganya watanzania wakamwamini kumbe yeye hakuwa na nia ya dhati kushughulikia uozo huu mkubwa je nani anafungwa kama ufisadi wote huu hakamatwi mtu
Tuandike tumeumia wenye akili wataelewa maana ya maneno haya watanzania tusitegemee mapya kutoka ccm kwa kuwa ufisadi ni ccm na ccm ni ufisadi ni sawa na mtoto kumkana baba yake ni kitu haiwezekani