Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Wewe hata kwenye ndoa utadumu ..!..maana Kuna Kero had unahis ccm inahusika!Amen, kabisa kuweka maumivu moyoni husababisha maradhi mengi wallah
Wewe hata kwenye ndoa utadumu ..!..maana Kuna Kero had unahis ccm inahusika!Amen, kabisa kuweka maumivu moyoni husababisha maradhi mengi wallah
Mimi lazima tu ni dumu vitu vingi na ignore visivo na msingi wallah kero za mtu ndo sizijali Tena wanaume walivo vichomi hata sipigishani kelele mtu arudi hata saa ngapi atajiju wallah,Wewe hata kwenye ndoa utadumu ..!..maana Kuna Kero had unahis ccm inahusika!
Ah mie hata mm kupigizana kelele kisa umelate siwezi...utajiju mwenyewMimi lazima tu ni dumu vitu vingi na ignore visivo na msingi wallah kero za mtu ndo sizijali Tena wanaume walivo vichomi hata sipigishani kelele mtu arudi hata saa ngapi atajiju wallah,
Hahaaaa hapo pa ccm umenichekesha sana
Ndugu, umeongea yaliyonikuta. Wife yupo hospital na hali yake mbaya sana, chances za yeye na mtoto ku-survive ni ndogo na Dr wake anaongea kabisa, I was like am I going to be a widower hata 40 sijafika? Siku anaingizwa chumba cha upasuaji sikula the whole day, Dr anakuja ana-smile mbele yangu siamini. Kuna mimba zinakuwa kama nusu kifo, zinafilisi manake nyie ni hospitali tu kila wiki.
Ndio maana sidhani kama huyu mama atazaa tena, what we have is enough.
hujanielewa boss, yan alisema kwenye maisha kuna scenario zinatokea unatakiwa kuzikubali....
actually alikua ananifundisha kuhusu majaribu na namna ya kuvuka, na hii ishu alianza kunifundisha baada ya wife kupata miscarriage, nilishake sana maana nimekaa miaka 3 kwenye ndoa hakuna mtoto, then mwaka wa 4 mwanzoni wife akapata miscariage.....
ni jamaa huwa naomba nae, rafiki yangu, yani mtu wangu wa ndani sana! so naweza kusema kanisaidia kiasi kwamba siogopi kufa maana ni lazima nifike huko thou ishu ya uzao inaumiza sn!
mkuu pole sana aisee, Mungu akutie nguvu sana na ampe maarifa huyo mwenza wako atleast azibe pengo la mkeo mpendwa!
btw umekaa miaka mingapi baada ya kufiwa?
mimi kuna rafiki yangu mmoja kuna siku aliniambia mtu inabidi ujiandae kufiwa na mwenza anytime, iandae kabisa akili ili likitokea usishake sana!..... kwakweli japo nina miaka 3 kwenye ndoa na sina hata mtoto ila nimejiandaa japo nawazaGa sana sometime scenario hii ikitokea itakuaje!
@cocastic njoo ukutane na collegemate hapa, usome anachokisema.Amen, kabisa kuweka maumivu moyoni husababisha maradhi mengi wallah
@cocastic njoo ukutane na collegemate hapa, usome anachokisema.
Wanaume wenye mapenzi ya dhati kwa wenza wao bado wapo, pole kwa kufiwa mkuu.Nimefiwa baba na mama pia, lkn cku amefariki mke wangu nililia mnoo..yaani mpk leo nikimkumbuka huwa machozi yananimwagika aisee...ni miaka minne sasa toka afariki mke wng, aisee weacha tu
Asante sana mkuuWanaume wenye mapenzi ya dhati bado kwa wenza wake bado wapo, pole kwa kufiwa mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Cariha unaonekana mwenye roho ngumu sana, huna hisia za kike kama mwanamke wa kawaida, noma sana wewe. Nahisi your hubby to be ajiandae kimwili na kiroho huko aliko, difficult character weweNime poteza one of my parent nashukuru Mungu Wala Sina uchungu moyoni na amani tele najua kazi yake iliisha dunia, and one my parent mzima wa afya, Mungu ni mwema kuweka uchungu hakumrudishi mtu aisee.
Ahsante Sana mkuu,tulishapoa kidogoDuuuh pole sana
Shukrani Sana,mkuuPole sana
Ahsante mkuuAisee, pole sana mkuu.
Ahsante Sana,mkuuJamani we kaka Mungu akupe Nguvu...pole Sana jamani!
Ni muda kidogo sis darling, yote no mema sasa ni kulea tu vijana wapate mkate wa kila siku. Lakini tumepitia changamoto ngumu sana.Yaani brod darling nilijua ndo sis darling yupo hospital now; thank God kumbe ilishapita. Kwa kweli what you have is enough.
Mimi Sina roho I'm good heart women ukikaa na Mimi ukanijua hutajuta kabisa once ukinisoma na ukinielewa na huwezi amini watu hunipenda na kuniomba Hadi msaada wallah,Cariha unaonekana mwenye roho ngumu sana, huna hisia za kike kama mwanamke wa kawaida, noma sana wewe. Nahisi your hubby to be ajiandae kimwili na kiroho huko aliko, difficult character wewe
Wanaume huwa nahisi wana emotions vice versa
Hadi akipoteza kitu ndo anaona thamani yake...ukiwa naye labda aamue kukuthamini...wengi huchukulia poa tu
Ni muda kidogo sis darling, yote no mema sasa ni kulea tu vijana wapate mkate wa kila siku. Lakini tumepitia changamoto ngumu sana.