LITA2019
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 487
- 1,025
Nilimuona juzi kati dah...huwez amini kama kafiwa na mmewe juzi kati tu...kweli wake zetu ni life partners sio ndugu zetu aseeHahahahahaa nimecheka kwa nguvu..mie alinichosha msibani jamani khaa
Sent from my SM-N910U using JamiiForums mobile app