Hakuna Diplomasia Bila Wanadiplomasia: Tuna Uhaba Mkubwa wa Watumishi Kwenye Balozi Zetu

Haya ndio matokeo ya kumuachia mtu mmoja afanye maamuzi tunajikuta wote tunasagwa kama ng'ombe.Tunatakiwa tuwe na mifumo imara,tuchague wanadiplomasia kutokana na weledi na sifa zao kulingana na uwakilishi kwenye nchi husika. Muhimu zaidi tujue nini hasa tunakitaka kutoka kwenye nchi/ukanda husika.
 
Mhe.Zitto leo nimekuelewa sana. Hongera kwa hoja zenye mantinki kwa ustawi wa Taifa letu.
 
Mbona kama vile Waziri mwenye dhamana anafikisha ujumbe kwa bosi wake kupitia mlango wa nyuma? Maana aliwahi kulizungumzia kabla kuwa watumishi ni wachache huko kwenye Balozi zetu.
 
asante kwa mada nzuri mh Zitto
sina uelewa mpana sana kwenye diplomasia,ila nina mashaka na utezi wa mabalozi ndio chanzo cha diplomasia iliyodorara kwa tanzania
teuzi nyingi za mabalozi sidhani kama zina tija(wengi ya wateuliwa ubalozi kama chaka la kuwa ficha baada ya kukataliwa na system au CCM)
This is true, wanateulizwa kama shukrani kwa kazi nzuri waliyofanya kuhujum.upinzani au kuiwezesha ccm kushinda kwa njia za giza.
 
Kiranga nadhani kaanzia sehemu ya tatu kutokana na kile alichotaka kukiwasilisha hapa jukwaani JF. Katika hili Zitto umeleta hoja ya zamani iliyozibiwa masikio na CCM kwa muda mrefu sana katika njia changanuzi na fikirishi sana!!

Hongera sana Zitto!
 
Hata Watalii wanaokuja kwenye Nchi wamepungua sana kuna kila sababu ya kuimarisha Diplomasia, Balozi yeye ni mtu wa Kupata General report tu Hawa FSO ndio huingia jikoni na kubrand Taifa
 
Ukishazi-profile hizi nchi ndipo pia utaangalia ni mabalozi na maofisa wa aina gani unatakiwa kuwapeleka huko!

Kama Israel is more worth economically than SADC, then, for international cooperation/ushirikiano wa kimataifa unaweka pembeni u-monster wake na kutoa priority ya masuala ya kibalozi kwa Israel over our brothers SADC!

Tutaendelea ku-maintain our relation/uhusiano with our brothers SADC kwa sababu udugu haufi.

Kinyume chake, tutawekeza nguvu zetu za Kidiplomasia kwa global monsters like Israel provided tunafahamu they're worthy economically na kuangalia ni maafisa wa aina gani tunatakiwa kuwa nao kule!!

Sasa tatizo ni pale, unapochukua maafisa wenye sifa (sio za elimu) za kuwa ubalozini Malawi unawapeleka Israel au China au Marekani!!

Maafisa wetu wengi kama sio wote wanaweza kuitumikia dhana ya Uhusiano badala ya Ushirikiano!

Ingawaje Balozi sio Mtendaji Mkuu still huwezi kumchukua mtu ambae is completely politician asiye na element zozote za kibepari na kibeberu na kumpeleka kwenye "strategic" embassies kama China, US, au UK!!

Nchi kama China tulitakiwa kuwa na maofisa ambao ni " economic monsters" na ikibidi wale wenye uzoefu na corporate culture!

Maofisa ambao kipaumbele chao ni kuimarisha ushirikiano na China na sio kuimarisha uhusiano!! Maofisa wasioona taabu kuanzisha na kuimarisha ushirikiano na "mazimwi" wengine duniani provided kuna maslahi kwetu na sio ambao hakuna wanachoweza zaidi ya kuimarisha uhusiano!!

Even at family level, hivi ndivyo inavyotokea!
Comment nzuri sana hii.
Shida hata mteuz sio MWANA DIPLOMASIA
 
Viongozi wengi wanajua kubwabwaja. Wanashindwa kufanya mambo mengi kwa maslahi ya taifa. Tumekua nchi iliyo kisiwani.
 
Hata Watalii wanaokuja kwenye Nchi wamepungua sana kuna kila sababu ya kuimarisha Diplomasia, Balozi yeye ni mtu wa Kupata General report tu Hawa FSO ndio huingia jikoni na kubrand Taifa
Unatumia data za wapi?
 
Nashauri tumpe Tundu Lisu Ubalozi wa Brussels, ana uzoefu napo anawajua EU elite wote hata huenda kumuona na mpaka wanamlinda!
 
Nashauri tumpe Tundu Lisu Ubalozi wa Brussels, ana uzoefu napo anawajua EU elite wote hata huenda kumuona na mpaka wanamlinda!
Lisu akiwa balozi huko atawaomba EU msaada wa spika na microphone wakimuuliza kwa nini atasema katiba ya tanzania inatambua uhuru wa kuongea na kutoa mawazo hivyo zinahitajika sana kwa ajili ya kuongelea. Hana cha maana anachoweza kukileta cha kiuchumi
 
Lisu akiwa balozi huko atawaomba EU msaada wa spika na microphone wakimuuliza kwa nini atasema katiba ya tanzania inatambua uhuru wa kuongea na kutoa mawazo hivyo zinahitajika sana kwa ajili ya kuongelea. Hana cha maana anachoweza kukileta cha kiuchumi


Hahah na kupiga Picha na Muzungu kurusha JF!
 
Back
Top Bottom