nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 997
- 828
Nina ndugu yangu anaishi mkoa Tanga wilaya ya Mkinga ameumwa na Paka tumetafuta dawa hadi Hospitali ya Bombo hatujapata, tukaambiwa tujaribu Hospitali ya Mnazi Mmoja, jijini Dar es salaam nimewasiliana na ndugu zangu waliopohuko wasema labda tujaribu kutafuta nchini Kenya.