Hakuna chama duniani kinaendekeza wasiotii maazimio ya chama/ Mwenyekiti wake

Tatizo ni kwamba John ana miaka kama 5 tuu aondoke.. lakini maisha ya siasa ni zaidi ya miaka 5.
Unajua sentensi hii inaumiza sana?

Hata sijui kwa nini umewaza hivyo.

Hiyo sehemu ya pili "...lakini maisha ya siasa ni zaidi ya miaka 5", haileti ahueni yoyote, kwa sababu kila siku ya maisha inahesabika katika hiyo miaka 5.

Hebu liwaze vizuri hili jambo utaona mantiki ninayoilenga.
 
Mbona ccm walivyokuwa wamewaazibu wanachama wao akiwemo Camillius, mlikuwa mmebeza?
 
WABUNGE VIJANA JIFUNZENI KUWA WATII KWA VYAMA VYENU, HAKUNA CHAMA DUNIANI AMBACHO KINA ENDEKEZA YEYOTE AMBAYE HATII MAAZIMIO YA CHAMA HATA KAMA HAKUBALIANI NAYO. CCM NI MFANO MZURI. MUDA HUU WOTE WAPO BUNGENI KWA SABABU MWENYEKITI AU CHAMA KIMEWATAKA WAENDELEE KUWA BUNGENI PAMOJA NA KWAMBA KUNA WENGI HATA USINGIZI HAWALALI KWA HOFU YA KUFA NA CORONA.

Wabunge wanao jiunga na vyama vya upinzania waache njaa, Hakuna chama duniani ambacho huwa kinamwacha yeyote ambaye anakwenda kinyume na matakwa ya chama, Iwe Marekani, Russia, China au mashariki ya kati , mambo ni yale yale lazima kutii jambo lilo kubalika na chama chako.

Hawa Vijana ambao wanakiuka makubaliano ya vyama vyao na kushangiliwa na Chama Cha Mapinduzi, wnadhani mle CCM hakuna wabunge ambao huwa hawaikubali kauli ya mwenyekiti, wakati uhalisia chama cha mapinduzi ndio chama ambacho huwezi pingana na maamuzi ya chama au ya mwenyekiti.

Katika sakata hili la juzi, inaonyesha wale wabunge kina Silinde, Lijuakali, etc ambao wamaamua mkulinda posho zao kwa kisingizio wananchi ndio waliowachagua ni kiishiwa kisiasa na kukosa mwelekeo, hakuna chama wataaenda kitaendekeza ujinga kama huu.

Kuwa mwanachama ni Pamoja na kutetea maslahi ya chama hata kama hukubaliano nao.

  • Unadhani wana ccm wanamkubali Magufuli kwa kila anancho waambia waseme au wafanye, ila kwa sababu wamekubali kuwa wanachama basi sharti lake lazima kuheshimu kauli ya kiti cha mwenyeketi au ya chama.
  • Silinge na wenzie wanadhani Republic kule marekani wanamkubali sana trump hata kuendelea na vikao wakati democrat wamsusia vikao?
  • Silinde na wenzake wanadhani wabunge wa ccm hawaogopi corona wakati kuna Ushahidi kuna wabunge wamepoteza maisha? No, Ila kwa sababu mwenyekiti anawahitaji wakae bungeni.
  • CCM umefukuza wanachama wengi sana kwa kutotii kauli ya chama au ya mwenyekiti hata wengine hawajulikani walipo.
  • Huwezi kuwa mwana siasa kama huwezi kusimamia maazimio ya chama .
Watanzania hasa vijana ambao tunaingia kwenye siasa, lazima tujipange kiuchumi , kimaisha , kiakili pia. Wabunge kama silinge na Lijuakali ambao walionekana ni wabunge vijana leo njaa zinawafanya watii amri za ccm.Hatuhitaji vijana radical ila tunahitaji vijana wanao jielewa na wenye misimamo, Siasa ni kufanya kile unakiamini kupitia chama chako ambacho umechagua kuwa mwanachama.

Sitegemee silinde na lijuakali kurudi bungeni, wakibebwa na CCM wajue hawata kuwa na uhuru Zaidi ya kuunga hoja za serikali hata wakati wa mambo ya hovyo.

Msimamo ni kipimo cha utu.

Tabutupu
CEO, Tabutupu Group
Paris, France| Nyaishoshi Tanzania

Mkuu kweli uko ufaransa na pumba Zote ulizoandika. Haya Tuambie. Wabunge wamatoka Dodoma kujikarantini. DAR ES SALAAM. Talk about that. You are very stupid. Sijui hata hapa jirani ulikujaje.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
WABUNGE VIJANA JIFUNZENI KUWA WATII KWA VYAMA VYENU, HAKUNA CHAMA DUNIANI AMBACHO KINA ENDEKEZA YEYOTE AMBAYE HATII MAAZIMIO YA CHAMA HATA KAMA HAKUBALIANI NAYO. CCM NI MFANO MZURI. MUDA HUU WOTE WAPO BUNGENI KWA SABABU MWENYEKITI AU CHAMA KIMEWATAKA WAENDELEE KUWA BUNGENI PAMOJA NA KWAMBA KUNA WENGI HATA USINGIZI HAWALALI KWA HOFU YA KUFA NA CORONA.

Wabunge wanao jiunga na vyama vya upinzania waache njaa, Hakuna chama duniani ambacho huwa kinamwacha yeyote ambaye anakwenda kinyume na matakwa ya chama, Iwe Marekani, Russia, China au mashariki ya kati , mambo ni yale yale lazima kutii jambo lilo kubalika na chama chako.

Hawa Vijana ambao wanakiuka makubaliano ya vyama vyao na kushangiliwa na Chama Cha Mapinduzi, wnadhani mle CCM hakuna wabunge ambao huwa hawaikubali kauli ya mwenyekiti, wakati uhalisia chama cha mapinduzi ndio chama ambacho huwezi pingana na maamuzi ya chama au ya mwenyekiti.

Katika sakata hili la juzi, inaonyesha wale wabunge kina Silinde, Lijuakali, etc ambao wamaamua mkulinda posho zao kwa kisingizio wananchi ndio waliowachagua ni kiishiwa kisiasa na kukosa mwelekeo, hakuna chama wataaenda kitaendekeza ujinga kama huu.

Kuwa mwanachama ni Pamoja na kutetea maslahi ya chama hata kama hukubaliano nao.

  • Unadhani wana ccm wanamkubali Magufuli kwa kila anancho waambia waseme au wafanye, ila kwa sababu wamekubali kuwa wanachama basi sharti lake lazima kuheshimu kauli ya kiti cha mwenyeketi au ya chama.
  • Silinge na wenzie wanadhani Republic kule marekani wanamkubali sana trump hata kuendelea na vikao wakati democrat wamsusia vikao?
  • Silinde na wenzake wanadhani wabunge wa ccm hawaogopi corona wakati kuna Ushahidi kuna wabunge wamepoteza maisha? No, Ila kwa sababu mwenyekiti anawahitaji wakae bungeni.
  • CCM umefukuza wanachama wengi sana kwa kutotii kauli ya chama au ya mwenyekiti hata wengine hawajulikani walipo.
  • Huwezi kuwa mwana siasa kama huwezi kusimamia maazimio ya chama .
Watanzania hasa vijana ambao tunaingia kwenye siasa, lazima tujipange kiuchumi , kimaisha , kiakili pia. Wabunge kama silinge na Lijuakali ambao walionekana ni wabunge vijana leo njaa zinawafanya watii amri za ccm.Hatuhitaji vijana radical ila tunahitaji vijana wanao jielewa na wenye misimamo, Siasa ni kufanya kile unakiamini kupitia chama chako ambacho umechagua kuwa mwanachama.

Sitegemee silinde na lijuakali kurudi bungeni, wakibebwa na CCM wajue hawata kuwa na uhuru Zaidi ya kuunga hoja za serikali hata wakati wa mambo ya hovyo.

Msimamo ni kipimo cha utu.

Tabutupu
CEO, Tabutupu Group
Paris, France| Nyaishoshi Tanzania
Kwa Bango lako hili unatuambia kuwa Chama cha Familia kunafuka moto Huko??
 
Umenena mkuu utoto na ubinafsi unawasumbua
Mtu kama Lijuakikali alifungwa chama kikampigania katoka. Leo anaona Chadema si lolote.
Mtu kama Silinde kaibuliwa toka chuoni hajui hata ajira ikoje, hakuwa hata na pesa za kampeni Chadema ikatumia rsili mali akaingia bungeni, leo ana jiona star. Fadhili za punda.
Msabaha baada ya kusifiwa na Mh rais nae anajiona kweli ni mzuri kumbe kabebwa kutokana na uchache wa wawakilishi wa upinzanibtoka Zanzibar. Mambobya kipuuzi haya..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wote kifo cha mende kisiasa.

Uliza kina kafulila leo wapo wapi ?

Wanabugia matapishi huko songwe.

Tatizo la vijana ni kuwa na ndoto za abunuasi.

Chadema ni chama makini sana kuwahi kutokea.
Mtu kama Lijuakikali alifungwa chama kikampigania katoka. Leo anaona Chadema si lolote.
Mtu kama Silinde kaibuliwa toka chuoni hajui hata ajira ikoje, hakuwa hata na pesa za kampeni Chadema ikatumia rsili mali akaingia bungeni, leo ana jiona star. Fadhili za punda.
Msabaha baada ya kusifiwa na Mh rais nae anajiona kweli ni mzuri kumbe kabebwa kutokana na uchache wa wawakilishi wa upinzanibtoka Zanzibar. Mambobya kipuuzi
 

Attachments

  • FB_IMG_1588851736793.jpeg
    FB_IMG_1588851736793.jpeg
    39.9 KB · Views: 1
Hivi anacho sema mwenyekiti wa ccm huwa mnapinga?? Acha unafiki

Sent by IPhone
Sisi kwa kweli huwa hatupingi kabisa. Achilia mbali hao wabunge,sisi huku kijijini ukipinga labda ukafanyie chooni tu. Nikuunga mkono hoja tu.

Sent using iphone pro max
 
Chama ni shule ya socialization. Anayeshindwa kusociolize nje kwa guidance ya chama anakuwa amekiuka na kukosa utii.

Kukosa utii ni dhambi inayopingwa kila mahali kuanzia familia kwani inazaa usaliti.


Mkutano mkuu wa chama uwafukuze hata kama ni maumivu ili ujenge maadili ya chama na utii wa mamlaka.

Mwanzoni mwa bunge kwa nini walikaa nje? Walikuwa hawana wa kuwawakilisha?
Vijana hawa naona bado wanakipenda chama lkn waachwe ili wajifunze.
Kuwa mwanachama ni kukubali yote na kukitetea chama na viongozi wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom