Hakuna chama duniani kinaendekeza wasiotii maazimio ya chama/ Mwenyekiti wake

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,109
18,326
WABUNGE VIJANA JIFUNZENI KUWA WATII KWA VYAMA VYENU, HAKUNA CHAMA DUNIANI AMBACHO KINA ENDEKEZA YEYOTE AMBAYE HATII MAAZIMIO YA CHAMA HATA KAMA HAKUBALIANI NAYO. CCM NI MFANO MZURI. MUDA HUU WOTE WAPO BUNGENI KWA SABABU MWENYEKITI AU CHAMA KIMEWATAKA WAENDELEE KUWA BUNGENI PAMOJA NA KWAMBA KUNA WENGI HATA USINGIZI HAWALALI KWA HOFU YA KUFA NA CORONA.

Wabunge wanao jiunga na vyama vya upinzania waache njaa, Hakuna chama duniani ambacho huwa kinamwacha yeyote ambaye anakwenda kinyume na matakwa ya chama, Iwe Marekani, Russia, China au mashariki ya kati , mambo ni yale yale lazima kutii jambo lilo kubalika na chama chako.

Hawa Vijana ambao wanakiuka makubaliano ya vyama vyao na kushangiliwa na Chama Cha Mapinduzi, wnadhani mle CCM hakuna wabunge ambao huwa hawaikubali kauli ya mwenyekiti, wakati uhalisia chama cha mapinduzi ndio chama ambacho huwezi pingana na maamuzi ya chama au ya mwenyekiti.

Katika sakata hili la juzi, inaonyesha wale wabunge kina Silinde, Lijuakali, etc ambao wamaamua mkulinda posho zao kwa kisingizio wananchi ndio waliowachagua ni kiishiwa kisiasa na kukosa mwelekeo, hakuna chama wataaenda kitaendekeza ujinga kama huu.

Kuwa mwanachama ni Pamoja na kutetea maslahi ya chama hata kama hukubaliano nao.

  • Unadhani wana ccm wanamkubali Magufuli kwa kila anancho waambia waseme au wafanye, ila kwa sababu wamekubali kuwa wanachama basi sharti lake lazima kuheshimu kauli ya kiti cha mwenyeketi au ya chama.
  • Silinge na wenzie wanadhani Republic kule marekani wanamkubali sana trump hata kuendelea na vikao wakati democrat wamsusia vikao?
  • Silinde na wenzake wanadhani wabunge wa ccm hawaogopi corona wakati kuna Ushahidi kuna wabunge wamepoteza maisha? No, Ila kwa sababu mwenyekiti anawahitaji wakae bungeni.
  • CCM umefukuza wanachama wengi sana kwa kutotii kauli ya chama au ya mwenyekiti hata wengine hawajulikani walipo.
  • Huwezi kuwa mwana siasa kama huwezi kusimamia maazimio ya chama .
Watanzania hasa vijana ambao tunaingia kwenye siasa, lazima tujipange kiuchumi , kimaisha , kiakili pia. Wabunge kama silinge na Lijuakali ambao walionekana ni wabunge vijana leo njaa zinawafanya watii amri za ccm.Hatuhitaji vijana radical ila tunahitaji vijana wanao jielewa na wenye misimamo, Siasa ni kufanya kile unakiamini kupitia chama chako ambacho umechagua kuwa mwanachama.

Sitegemee silinde na lijuakali kurudi bungeni, wakibebwa na CCM wajue hawata kuwa na uhuru Zaidi ya kuunga hoja za serikali hata wakati wa mambo ya hovyo.

Msimamo ni kipimo cha utu.

Tabutupu
CEO, Tabutupu Group
Paris, France| Nyaishoshi Tanzania
 
Siasa ndio ilivyo watu wanashindwa kuelewa tu unatakiwa kupinga ndio democrasia lakini lazima wanachokipinga lazima kieleweke kwa jamii mfano mimi waliompinga Mbowe kwenye uchaguzi amban sio mamluki niliwaelewa sana.

Mtu kama sumaye naye eti unaona anataka kupinga na kujifanya mpinzani upumbavu, Mbunge chama kinakubeba watu wanaumia unashinda ubunge kwenye tundu la sindano halafu brand yako iliyokupeleka bungeni unaigeuka mimi ningewafuta Uanachama wote na kuwafukuza mala moja.

Yaani unauza utu wako unanunuliwa kizembe halafu unafikiria utasalimika kama uyo wa Tunduma ajipange sana pale Ccm ilishafutika vijana wa pale asipokuwa makini watamchinja kwa usaliti.
 
Wakikua wataelwa.. tatizo la vijana tunataka mafanikio ya haraka. Vijana wengi wanaota kuwa Marais wa nchi kitu ambacho sio rahis kinahitaji kujipanga na kuwa mvumilivu.

Mtu kama mwigulu sio kwamba anamkubali sana Mh Rais ila kwa sababu ana tafuta space ya kisiasa ana amua kusimamia maazimio ya chama au ya mwenyekiti .

Msimamo ni kipimo cha utuu.
Umenena mkuu utoto na ubinafsi unawasumbua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli umeongea jambo la maana sana ambalo wanasiasa walio upande wa vyama vya upinzani wanatakiwa kujifunza. Hata mimi nasisitiza kuwa hakuna chama cha siasa popote pale duniani ambacho kinaweza kukubali wadau wake waende tofauti na maazimio ya chama either unayakubali au huyakubali.

Tena sijapendezwa kabisa na Silinde kwa jinsi alivyokuwa anaongea kwa kumtaja Mwenyekiti wake Mbowe kwa dharau utafikiri wanafanana umri. Sio vizuri hata kidogo.

Wajifunze kwa wabunge wenzao wa CCM naamini kuna mambo mengi ya kijinga ambayo chama chao kinalazimishwa yafuatwe hali ya kuwa wanaona kabisa kuwa si sahihi, ila kwa kuheshimu maslahi ya chama wanaamua tu kukubaliana nayo wote kwa kuwa kitu kimoja.

Halafu Silinde na kampani yake hivi hawashangai kwanini wanaoshabikia wao kwenda Bungeni ni watu wa CCM and company?
Ni hayo tu.
 
Tatizo hawajifunzi, hakuna aliye wahi nunuliwa akafanikiwa.

Ukisha nunuliwa unauza mamlaka yako na haki zako.

Nadhani njaa nazo zinasumbua sana.
Siasa ndio ilivyo watu wanashindwa kuelewa tu unatakiwa kupinga ndio democrasia lakini lazima wanachokipinga lazima kieleweke kwa jamii mfano mimi waliompinga Mbowe kwenye uchaguzi amban sio mamluki niliwaelewa sana.

Mtu kama sumaye naye eti unaona anataka kupinga na kujifanya mpinzani upumbavu, Mbunge chama kinakubeba watu wanaumia unashinda ubunge kwenye tundu la sindano halafu brand yako iliyokupeleka bungeni unaigeuka mimi ningewafuta Uanachama wote na kuwafukuza mala moja.

Yaani unauza utu wako unanunuliwa kizembe halafu unafikiria utasalimika kama uyo wa Tunduma ajipange sana pale Ccm ilishafutika vijana wa pale asipokuwa makini watamchinja kwa usaliti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa ni maisha ila vijana hawajui.
Ni kweli umeongea jambo la maana sana ambalo wanasiasa walio upande wa vyama vya upinzani wanatakiwa kujifunza. Hata mimi nasisitiza kuwa hakuna chama cha siasa popote pale duniani ambacho kinaweza kukubali wadau wake waende tofauti na maazimio ya chama either unayakubali au huyakubali.
Tena sijapendezwa kabisa na Silinde kwa jinsi alivyokuwa anaongea kwa kumtaja Mwenyekiti wake Mbowe kwa dharau utafikiri wanafanana umri. Sio vizuri hata kidogo. Wajifunze kwa wabunge wenzao wa CCM naamini kuna mambo mengi ya kijinga ambayo chama chao kinalazimishwa yafuatwe hali ya kuwa wanaona kabisa kuwa si sahihi, ila kwa kuheshimu maslahi ya chama wanaamua tu kukubaliana nayo wote kwa kuwa kitu kimoja.
Halafu Silinde na kampani yake hivi hawashangai kwanini wanaoshabikia wao kwenda Bungeni ni watu wa CCM and company?
Ni hayo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa alizungumzia uwakilishi wa wananchi bungeni, akasema yeye anawatumikia wananchi wa Momba; CDM kama chama walitumika tu kama wadhamini, akionekana kuitilia shaka nguvu ya chama kumbeba mgombea.

Nadhani alishindwa kutambua kuwa mgombea kupitia CDM kama chama kikuu cha upinzani kulichangia nafasi kubwa sana katika ushindi wake, CDM kama chama kina uungwaji mkono mkubwa sehemu kubwa ya nchi, ndio maana kutwa CCM hawaishi kuwafanyia vitimbi viongozi wa CDM, na ndio maana hata yeye binafsi akaamua kujiunga CDM asiende chama kingine tofauti.

Alichokisema kwenye lile jibu ni sawa na kujaribu kukata tawi la mti alilokalia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania hasa vijana ambao tunaingia kwenye siasa, lazima tujipange kiuchumi , kimaisha , kiakili pia. Wabunge kama silinge na Lijuakali ambao walionekana ni wabunge vijana leo njaa zinawafanya watii amri za ccm.Hatuhitaji vijana radical ila tunahitaji vijana wanao jielewa na wenye misimamo, Siasa ni kufanya kile unakiamini kupitia chama chako ambacho umechagua kuwa mwanachama.
Unayaandika haya kana kwamba hao unaowaeleza hawayajui?

Wanaosemekana kununuliwa na CCM walikuwa hawajui kinachotokea? Au bado huelewi ninachokueleza hapa!

Kama ni hivyo, uliza nikufafanulie.

Ninakubaliana na wewe kwenye huo mstari wa mwisho.
 
'There is a silver lining to every cloud' - timing ni nzuri kwao na kwa CHADEMA.

Kwa nini CHADEMA wawalalamikie wabunge kama hao wanaosaidia kusafisha chama!

Adui mkubwa kwa CHADEMA ni kiongozi/mwanachama mnafiki. Asiyeamini chochote kinachosimamiwa na chama, lakini anaendelea kuwemo humo kwa mategemeo ya kuvuna kesho na keshokutwa. Hana 'commitment' yoyote na chama, bali anasubiri tu kuvuna kupitia kwenye chama.
Silinde ni mfano mzuri, kwa sababu kajieleza na ameeleweka.

Pamoja na kwamba ni vigumu sana kuwatambua watu kama hawa kuwemo ndani ya chama, lakini kuna umhimu wa chama kuwa na vigezo vya msingi vya kuwapima wanachama wao, hasa kabla ya kuwapa uongozi ndani ya chama chao.
 
Ukitaka kuwa huru Ni bora usijiunge Na chama cha siasa, vinginevyo tabu inakuhusu.Ukipingana Na viongozi au maamuzi ya chama chako, Ni usaliti.wale wabunge Wa upinzani wanadanganywa Na wanaccm eti wanajitambua.Hatari sana.Ccm ndo wasingevumilia kamwe wabunge wangeenda kinyume.binafsi nampongeza kubenea.Amejua nini maana ya mamlaka.
 
'There is a silver lining to every cloud' - timing ni nzuri kwao na kwa CHADEMA.

Kwa nini CHADEMA wawalalamikie wabunge kama hao wanaosaidia kusafisha chama!

Adui mkubwa kwa CHADEMA ni kiongozi/mwanachama mnafiki. Asiyeamini chochote kinachosimamiwa na chama, lakini anaendelea kuwemo humo kwa mategemeo ya kuvuna kesho na keshokutwa. Hana 'commitment' yoyote na chama, bali anasubiri tu kuvuna kupitia kwenye chama.
Silinde ni mfano mzuri, kwa sababu kajieleza na ameeleweka.

Pamoja na kwamba ni vigumu sana kuwatambua watu kama hawa kuwemo ndani ya chama, lakini kuna umhimu wa chama kuwa na vigezo vya msingi vya kuwapima wanachama wao, hasa kabla ya kuwapa uongozi ndani ya chama chao.
Kwa kweli nakumbuka kauli ya kila mmoja kambale ndani ya chadema.Hivi hata chain of command hawaijui
 
Unapata wapi nguvu ya kutetea maamuzi ya mfukoni hata Kama ni Mwenyekiti wako?

Naamini katika kuimarisha na kukuza demokrasia, vikao ndio njia ya kufikia maamuzi ya pamoja. Kwa nini Mwenyekiti akisema leo tutafanya hiki au kile ,bila kuhoji mnafanya bila kuangalia athari zake. We need Patriotic democratic system
 
Unapata wapi nguvu ya kutetea maamuzi ya mfukoni hata Kama ni Mwenyekiti wako?

Naamini katika kuimarisha na kukuza demokrasia, vikao ndio njia ya kufikia maamuzi ya pamoja. Kwa nini Mwenyekiti akisema leo tutafanya hiki au kile ,bila kuhoji mnafanya bila kuangalia athari zake. We need Patriotic democratic system
Silinde alikuwa kwenye kikao kilichofikia maamuzi hayo!Au unaishi dunia gani?
Nimekuta naikumbuka ghafla ile kama aliyokuwepo Lema,akiwa gerezani walienda kumtembelea kinyume na maelekezo ya mwenyekiti Magufuli ambaye aliwaona kama wasaliti!

Baada ya tukio hilo kamari nzima ililazimishwa kujiuzulu na kupewa onyo kali kwa kwenda kumtembelea mwana kamati mwenzao gerezani!

Sasa mbunge wa CCM ajaribu kuamua kutohudhuria bunge kisa Corona,nadhani anavuliwa uanachama wake siku hiyo hiyo!
 
Ukitaka kuwa huru Ni bora usijiunge Na chama cha siasa, vinginevyo tabu inakuhusu.Ukipingana Na viongozi au maamuzi ya chama chako, Ni usaliti.wale wabunge Wa upinzani wanadanganywa Na wanaccm eti wanajitambua.Hatari sana.Ccm ndo wasingevumilia kamwe wabunge wangeenda kinyume.binafsi nampongeza kubenea.Amejua nini maana ya mamlaka.
Wanashangiliwa sana na wabunge wa CCM. hawajiulizi kwa nini!

Magu mwenyewe aliwahi kusema ukiona mpinzani wako anakusifia sana jiulize mara mbili, kuna mahali utakuwa unakosea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumewachoka na masimango yenu kwa vijana, vijana hamuhitajiki humo endeni nje. Wabaki wenyewe sifiasifia Mbowe.

By the way kaeni ndani muyaongee wenyewe na sio kila MTU anaibuka na statement yake hiyo sio nidhamu na ni double standard
 
Wanashangiliwa sana na wabunge wa CCM. hawajiulizi kwa nini!
Magu mwenyewe aliwahi kusema ukiona mpinzani wako anakusifia sana jiulize mara mbili, kuna mahali utakuwa unakosea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jana nimemsikiliza selasini nilishangaa sana, anasema yeye bado Ni mbunge mtiifu Wa chadema huku akiponda uamuzi Wa chama chake.Kwa kweli kama Ni unafiki selasini Ni noma.Hivi hats chain of command anaijua kweli.
 
WABUNGE VIJANA JIFUNZENI KUWA WATII KWA VYAMA VYENU, HAKUNA CHAMA DUNIANI AMBACHO KINA ENDEKEZA YEYOTE AMBAYE HATII MAAZIMIO YA CHAMA HATA KAMA HAKUBALIANI NAYO. CCM NI MFANO MZURI. MUDA HUU WOTE WAPO BUNGENI KWA SABABU MWENYEKITI AU CHAMA KIMEWATAKA WAENDELEE KUWA BUNGENI PAMOJA NA KWAMBA KUNA WENGI HATA USINGIZI HAWALALI KWA HOFU YA KUFA NA CORONA.

Wabunge wanao jiunga na vyama vya upinzania waache njaa, Hakuna chama duniani ambacho huwa kinamwacha yeyote ambaye anakwenda kinyume na matakwa ya chama, Iwe Marekani, Russia, China au mashariki ya kati , mambo ni yale yale lazima kutii jambo lilo kubalika na chama chako.

Hawa Vijana ambao wanakiuka makubaliano ya vyama vyao na kushangiliwa na Chama Cha Mapinduzi, wnadhani mle CCM hakuna wabunge ambao huwa hawaikubali kauli ya mwenyekiti, wakati uhalisia chama cha mapinduzi ndio chama ambacho huwezi pingana na maamuzi ya chama au ya mwenyekiti.

Katika sakata hili la juzi, inaonyesha wale wabunge kina Silinde, Lijuakali, etc ambao wamaamua mkulinda posho zao kwa kisingizio wananchi ndio waliowachagua ni kiishiwa kisiasa na kukosa mwelekeo, hakuna chama wataaenda kitaendekeza ujinga kama huu.

Kuwa mwanachama ni Pamoja na kutetea maslahi ya chama hata kama hukubaliano nao.

  • Unadhani wana ccm wanamkubali Magufuli kwa kila anancho waambia waseme au wafanye, ila kwa sababu wamekubali kuwa wanachama basi sharti lake lazima kuheshimu kauli ya kiti cha mwenyeketi au ya chama.
  • Silinge na wenzie wanadhani Republic kule marekani wanamkubali sana trump hata kuendelea na vikao wakati democrat wamsusia vikao?
  • Silinde na wenzake wanadhani wabunge wa ccm hawaogopi corona wakati kuna Ushahidi kuna wabunge wamepoteza maisha? No, Ila kwa sababu mwenyekiti anawahitaji wakae bungeni.
  • CCM umefukuza wanachama wengi sana kwa kutotii kauli ya chama au ya mwenyekiti hata wengine hawajulikani walipo.
  • Huwezi kuwa mwana siasa kama huwezi kusimamia maazimio ya chama .
Watanzania hasa vijana ambao tunaingia kwenye siasa, lazima tujipange kiuchumi , kimaisha , kiakili pia. Wabunge kama silinge na Lijuakali ambao walionekana ni wabunge vijana leo njaa zinawafanya watii amri za ccm.Hatuhitaji vijana radical ila tunahitaji vijana wanao jielewa na wenye misimamo, Siasa ni kufanya kile unakiamini kupitia chama chako ambacho umechagua kuwa mwanachama.

Sitegemee silinde na lijuakali kurudi bungeni, wakibebwa na CCM wajue hawata kuwa na uhuru Zaidi ya kuunga hoja za serikali hata wakati wa mambo ya hovyo.

Msimamo ni kipimo cha utu.

Tabutupu
CEO, Tabutupu Group
Paris, France| Nyaishoshi Tanzania
Kiukweli nahisi tangu nimejiunga JF sijawahi kukutana na hoja yenye facts za ukweli wa hali halisi kama hii

Umeongea hali halisi na ukweli wa nafsi jinsi ulivyo na sio sanaa za maigizo wanazotuletea hao wabunge walio mkaidi Mbowe

Mwenye akili finyu ataona nakudhani wao ni kweli wanapigania wananchi uwakilishi wawananchi wao bali ni njaa, usaliti na unafiki



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom