Ndugu ya Waberoya,
Si kweli usemalo, ila nitakubaliana nawe kama lengo lako ni kutoa changamoto ya kudumisha maelewano kwenye vyama vyetu. Watanzania wengi tunapenda sana kukaa pembeni na kubeza tukifikiri kuwa kuna wajomba kutoka kulee... watakaokuja kutuwekea mambo yetu vizuri. Kama kweli lengo lako ni kuona nchi inapata mabadiliko ya kuiwezesha kuendelea, basi achana na haya mambo ya siasa nyepesi ili uuone ukweli na changamoto zake.
Ni kweli kuwa baadhi ya vyama sasa muda umevidhihilisha kuwa vinapoteza mwelekeo wake na sasa vimebaki kuwa vyama maslahi kama ulivyo uongozi wa CCM. Tofauti na vyama hivi, CHADEMA sasa imejidhihilisha kwa watanzania kuwa ni chama mbadala na kinachovutia wote wanaotaka kuisaidia nchi. Kinachoendelea ndani ya CHADEMA si kuvunjika kwa chama bali chama kinaanza kusafisha udhaifu uliokuwepo ili kiweze kuwa na nguvu za kutosha kukabiliana na mikiki ya kujenga taifa bora, ambalo lilishaanza kupoteza mwelekeo kutokana na uongozi maslahi uliopo! Fedha, matumizi ya nguvu za dola pamoja na mtandao wa kifisadi walionao CCM hautaizuia nchi kupata ukombozi; hata Nyerere aliweza kuichukua nchi mikononi mwa wakoloni ilihali walikuwa na kila kitu walichonacho CCM leo hii. Watanzania tutakaposema inatosha, huo ndio utakuwa mwisho wao. Mchakato umeanza, kila mtanzania mwenye nia njema na kizazi chetu kijacho aunge mkono harakati hizi!
Umenena vizuri sana ndugu yangu
Hivi Demokrasia inaanzia wapi ndani ya chama au nje ya chama?
sijabisha kuwa CDM ni mbadala wa ccm , ila NI MBADALA KATIKA YAPI? replacement? naona CDM kuna yaleyale ya CCM,nadhani ndio tafsiri sahihi ya mbadala.
CDM kuna majungu, Slaa wenu ni mtu wa visasi na ana inferiority complex kiasi cha kuwaogopa watoto wadogo, Mbowe unaambiwa Mbabe kwani muasisi wa chama ni Mkwe wake! mnaambiwa viti maalumu bungeni mmejaza girlfriends, nyumba ndogo na ndugu.
Same party tunaona mnavyobomona kwenye vyombo vyenu wenyewe vya habari, mkitumaini mtasimama na kujengeka?
Is there anyone out there who think something good may come from these sop called oppositions and CDM included? common, you know how much they make?? is there any opposition leaders recently who have challenged government at a state that they can jail him?
Nimabie kiongozi gani kati ya hawa mwenye uwezo wa kuongoza maandamano na kuweza kulala jela akikutetea wewe? au unafikiri mabadiliko yatakuja kwa ballot box? si umeona CCM wanavyofanya?
au unataka kujipa matumaini ya comparison ya wabunge 26 na zaidi ya mia mbili?? lets speak the truth, CDM still have that opportunity to be a dream party for every Tanzania, they can start now, not with this leadership, not with these people that I know fully! Tuseme ukweli, unaweza kutukana we need revolution not evolution. CDM is exercising evolution which if you know you wouldnt be excited with it, the change will come 100 yrs from now!!
Hivi una akili timamu wewe!!!! uko dunia gani??? Zenj wamelia miaka mingapi kuhusu faulo za CCM , wakati CDM inaingia kwenye uchaguzi walijua kuwa katiba mbovu? walijua kuwa NEC mbovu? YES walijua , what made them to participate in the election and cry later in the very basic thing that they were supposed to fight for? we need fair ground in elections opposition needed to prepare that! they didnt purposefully NA LEO UNASEMA CDM ndio wapinzani halisi utaamka lini ww unaibiwa?? unawapa watu kula yao mchana kweupe, nilisikia wanataka katiba mpya na NEC wamefikia wapi? wait for next 50yrs you will hear the same thing.
tuache kudanganyana! watu tunaowajua truel leaders wamo ila wameminywa unataka nitaje majina yao??
Kuna watu mnahitaji maombi kwa Gwajima, japo sio misukule
Ebu sema, tumesema kuhusu akina RA na EL mara ngapi, ni nani wa kuwashtaki hawa watu? nenda nje ukaone vyama vya upinzani wanafanya nini na in politics this is very cheap campaigning!!! waambie kama wana mpango huo kama sio sema na wewe ukajiona unasiaidwa kumbe wanasema tu, wanasema tu, wanasema tu, na wewe probably unasikia tu unasikia tu
Let think logically jamani!