Si CUF, CHADEMA , NCCR au Chengine chochote. Sasa endelezeni kuhujumiana na longolongo !
Mwana JF na wale wanatupia jicho JF,
Angalia na sikiliza Mkapa segment..kuanzia dakika ya 2:46 mpaka 3:35
Jiridhishe kwa kuangalia hii video, kwa hisani kubwa ya Mzee Mwanakijiji, Uone kuwa CCM hawana nia ya Kuachia madaraka hata pale wanaposhindwa au watakaposhindwa kupitia kisandukuni.
Watalazimisha wawe washindi! Kivipi?
Wao ni wamiliki wa Vyombo vya dola na Tume ya uchaguzi in the real sense kwa vile ndio wanaoongoza serikali kwa sasa, ingawaje vyombo hivi vinapaswa viwe vyombo vya Taifa, Umma.
Mwana JF na wale wanatupia jicho JF,
Angalia na sikiliza Mkapa segment..kuanzia dakika ya 2:46 mpaka 3:35
Jiridhishe kwa kuangalia hii video, kwa hisani kubwa ya Mzee Mwanakijiji, Uone kuwa CCM hawana nia ya Kuachia madaraka hata pale wanaposhindwa au watakaposhindwa kupitia kisandukuni.
Watalazimisha wawe washindi! Kivipi?
Wao ni wamiliki wa Vyombo vya dola na Tume ya uchaguzi in the real sense kwa vile ndio wanaoongoza serikali kwa sasa, ingawaje vyombo hivi vinapaswa viwe vyombo vya Taifa, Umma.
Last edited by a moderator: